Recent content by Njobepo

  1. N

    Tunauza Miche ya matunda 0712253102

    Komamanga na si kama ulivyoandika Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Tanesco wadai hoteli ya Mbowe inaitumia umeme wa wizi

    Gorilla type of politics haitatufikisha popote zaidi ya kujifilisi wenyewe kisias
  3. N

    Ni timu gani ya soka ikifungwa huwa unapata furaha?

    Yanga kwa sababu rangi za jezi zinanikarahisha
  4. N

    Kwanini Watanzania wamekuwa wagumu kutumia tofali za Hydrafom?

    Nikitaka uje mikoani unitengenezee kama tofali 5000 unaweza? Mimi niko Iringa mjini
  5. N

    Kamati ya Dr. Bashiru vs Kamati ya Spika gesi asilia ngoma inogile

    Kulindana ndani ya chama ndiko kumezua yote haya.
  6. N

    Mabasi ya Mwendokasi yatoa huduma bure kwa wakazi wa Dar kwa siku ya pili

    Wagome mara ngapi? Hujasikia kuhusu zile mashine
  7. N

    Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

    Ulitungilija gete,nduhu gakuongeja.
  8. N

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    Hii namba imetuma huo ujumbe kila MTU wa voda. Labda Kuna watu anaeapata
  9. N

    Zitto Kabwe apewa somo maridhawa Bungeni kuhusu kuilaumu Serikali mbaazi kushuka bei

    Nafikiri utajisaidia we we binafsi kwa kufanya research kuliko kuwaita wenzeko waropokaji. Kwanza inabidi ujifunze kutumia lugha safi,pili achana na ushabiki wa rangi, angalia ukweli ukoje. UNAFIKI ni sumu inawala watu wengi na hivyo kukosa afya kichwani.
  10. N

    CCM haijatumia hata 1/8 ya nguvu yake lkn chadema debe limejaa!

    Very poor and unrealistic judgment. Maoini yaliyokosa mizania hayawezi kuwa na tija kwa TAIFA na hata MTOA maoni mwenyewe.
  11. N

    Bungeni Dodoma: Joseph Selasini(MP) aibua upotevu wa Tzs trilioni 1.88

    Kama wewe si mkusanyaji mkuu wa hizo, si basi ni vema ukae kimya usikilize kama tunadanganywa na watendaji wetu au la. Unahitimishishaje kuwa ni pesa nyingi sana wakati hata bajeti haiendi inavyopaswa
Back
Top Bottom