Recent content by njiampya

  1. N

    Yaani kukaa bila ajira ni noma, kwa muda mrefu

    Ndugu yangu kama umemaliza chuo kikuu dar halafu,huna ndugu dar, wengi wanafunzi wanandugu dar, chuo kikiisha huwa wanaenda kuishi kwa ndugu. fatilia wanafunzi ambao wamemaliza chuo dar halafu hana ndugu akaendelea kuishi dar gheto, utajua vijana wanavyopiga uji na muhogo, kipindi kazi...
  2. N

    Yaani kukaa bila ajira ni noma, kwa muda mrefu

    Kipindi ukiwa chuo unakuwa unajipa, hope, baada ya miaka mitano nikimaliza chuo nitakuwa na maisha mazuri sana! Kumbe baada ya miaka mitano unakuwa bado hujapata ajira tokea umalize chuo ni noma.... Baada ya miaka mitano kumbe hata kupata mulo ni bahati na bachelor degree yako!!! Hivi kijana...
  3. N

    Picha: Usahili post ya Mkaguzi msaidizi wa Uhamiaji - Uwanja wa Taifa

    nisaidie mtaji ninaplan b yako, tena ninazo nyingi, mtaji vipi?
  4. N

    Vijana wengi wenye Degree hawana ajaira

    Kujiajiri ingekuwa rahisi, watoto wa vigogo wasingeenda BOT maana wao wana mitaji! Sidhani kama mtoto wa maskini aliyesoma saint kayumba anaweza pata hata mtaji wa laki tano!kila binadamu anafikra zake!!
  5. N

    Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

    Kama umesoma diploma DIT nenda kasome Bachelor Degree y Engineering UDSM kama Utamaliza,Sensa ni kwamba waliosoma diploma DIT au Chuo cha MAJI huwa hawalizi Degree wakienda UDSM, wanadisco..........Malizia huu ikweli
  6. N

    Vijana wengi wenye Degree hawana ajaira

    Katika utafiti niliofanya nimegundua vijana zaidi ya laki moja hawana ajira, naukitaka kuthibitisha hili angalia vijana walioitwa kwenye usaili wa uhamiaji ni zaidi ya elfu kumi. Na hapo wamefanya shortlisting. Je ni wangapi ambao hawajaitwa kwenye usaili. Je ni wangapi ambao hawakuomba hizi...
  7. N

    Naombeni msaada wa kurecovery,msg kama ukiwa umeifuta kwenye email;

    Jana kipindi nafungua email yangu, kuna msg nilidelete bila kujua,jamani naombeni msaada kama inawezekana kurecover msg
  8. N

    Kwa nini miradi mingi ya maji inasimamiwa na watu ambao sio wahandisi?

    Nasikia kwamba miradi mingi ya maji inasimamiwa na watu ambao sio waandishi, na mkandarasi au consulting firm anapokuwa anaomba tenda huwa anatenda kwamba mshahara wa mhandisi utakuwa ni zaidi ya Tshs 3.5ml. Serikali inabidi ifatilie, maana inaibiwa wakandarasi na consulting firm, ukienda site...
  9. N

    Bulyanhulu wametoa nafasi za kazi

    Nasikia Bulyanhulu wametoa nafasi mbili za environmental officer, mwenye tangazo atujuze. Nasikia wametoa tokea tarehe may 19.
  10. N

    Zimamoto Updates

    au umebebwa!
  11. N

    Zimamoto Updates

    Si dhani kama ni sahihi kama wanaangalia professional! wanatakiwa waweke, jina la fani na idadi ya watu waliochukuliwa!
  12. N

    Zimamoto Updates

    Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa, walitoa majina na fani zao walizosoma. Lakini zimamoto hawajafanya hivyo, kwa nini? jeshi la polisi mwaka jana mwezi wa kumi na mbili walitoa majina na fani zao walizosoma, na kwenye tangazo lao la ajira walitoa fani mbalimbali au wamechukua watu wa fani...
Back
Top Bottom