Recent content by njeeseka

  1. njeeseka

    Abdurazak Hamza aache uoga na aache kujivunja

    Ukiangalia tena yale msgoli yote ni uzembe wake na yalimtisha 😀
  2. njeeseka

    Wachawi hawapo walishakufa

    😆😆😆
  3. njeeseka

    Wachawi hawapo walishakufa

    Natafakari kwa kina hawa wachawi wangekuwepo. Ila kwa sasa hawa waliobaki nadhani ni wachawi ila hawatishi maana kuna watu bado majumbani wanalalamika kutokewa na wachawi usiku
  4. njeeseka

    Kusomesha watoto shule za private ni matumizi mabaya ya fedha

    Naungana na wewe, jamaa yangu alimtoa mtoto wake shule ya serikali tena inayosifika kwa ubora akampeleka private baada ya kuona mtoto amebadilika tabia na vitu alivyokwenda navyo boarding vyote vimeibiwa. Hakuna cha patron wala matron ni kama kuku wa kienyeji
  5. njeeseka

    Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

    Siku 30 za karipio bado hazijafika? maana ile siku mate mapovu hadi macho vilimtoka [emoji2957]
  6. njeeseka

    Kitabu cha Afrika Magufuli and Change chaingia Tanzania

    Hivi kwa Tz hii kinaweza kuzinduliwa kweli?
  7. njeeseka

    Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

    Mimi najiuliza dogo alikuwa anatafuta nini? Mgunda ameingiaje?
  8. njeeseka

    Wasabato tumekuja tena!!

    Mikutano iko vizuri [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
  9. njeeseka

    Hizi kauli za IGP za karibuni ni bahati mbaya, makusudi, mazoea au kuchoka?

    I wish i call be IGP. Jiweke ktk nafasi ya IGP halafu uwe ktk majonzi ya kupoteza wapiganaji wako hivyo, lazima ukasirike uonyeshe kukerwa, nadhani huo ndio uaskari
  10. njeeseka

    IGP Sirro: Ukiwa na mtoto mhalifu halafu usitoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama wewe ni tatizo kwa Watanzania

    Ficha ujinga wako bora kukaa kimya kwa usichokijua kuhusu huyo gaidi wenu.
  11. njeeseka

    BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

    Post zote mmefuta baada ya kuona chama kilikurupuka [emoji38][emoji38][emoji38] sasa mmewaachia wapiga propaganda waendeleze ili kuua soo [emoji854] ila Diamond ni mkubwa kuliko Chadema aisee
  12. njeeseka

    BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

    [emoji15] hivi na wewe ushafuta ujinga [emoji16][emoji16][emoji16]
  13. njeeseka

    BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  14. njeeseka

    BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

    Kaa kimya kama hujui nafasi ya Tundu Lissu katika chadema na alichopost kasome. Usipende kubaki nyuma katika mitandao wakati unapenda ku comment
Back
Top Bottom