Dada mimi nimesoma hii taarifa na nimeamini kabisa ulichosema. Hata kama ingekuwa ya kutunga kama wanavyodai wajinga, umewapa somo wanawake wanaopitia hii situation. Umefanya jambo la maana na nadra sana. Kwa ushauri tu kuwa macho na huyo jamaa anaonekana hana uzima kichwani ni psycho na anaweza...
Unaweza kifungwa jela hata kwa kesi ya madai kama hiyo yako. Unakuwa civil prisoner na anaekudai analipia kiasi flani cha hela kugharimia kifungo chako. Hii ni utaratibu wa sheria ili kulazimisha watu kuwajibika kulipa madeni. Bila kifungo watu wangepuuza tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.