Recent content by NivardMwageni

  1. NivardMwageni

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kuwakwepa kwao ni kutokukubali mazungumzo yoyote yatakayokuhitaji kutoa pesa...
  2. NivardMwageni

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hawawezi kukubali... Hapo kama haeleweki ni kumpotezea tu... Mimi mwenyewe ilinikuta hiyo unayosema. Tena alikuwa ananipa moyo sana kumbe alikuwa hafanyi mchakato wowote..... Hiyo ipotezee... Bora utafute mwingine au namna nyingine....
  3. NivardMwageni

    Tusiime P/School punguzeni ada

    Mzazi anayepeleka mtoto shule binafsi namshangaa sana anapolalamika.... Hivi hakuna vikao vya wazazi hapo tusiime.. Malalamiko ya private yanapaswa yatatuliwe na private wenyewe sio kama zilivyo za umma
  4. NivardMwageni

    Lowassa, Sumaye, Kingunge, Mbowe na Lissu wapuuzwe

    Hao wakipuuzwa na wewe pia na mada yako unapaswa kupuuzwa... Nilichokigundua toka kwako hujui hata maana ya "upinzani" na suala la vyama vingi.... Wewe ulitegemea wapande majukwaani kumnadi magufuli? Hata mimi ningewaona wapuuzi kama mrema.... Kaa upitie upya maana ya vyama vingi na maana ya...
  5. NivardMwageni

    Mrema asema hajutii kumnadi Rais Magufuli

    Kwisha habari yake.... Alama za nyakati hakusoma vizuri.... Wakati ni ukuta...
  6. NivardMwageni

    The Observer: Tanzanians should stop provoking us

    I like it... Full of educative ideas...
  7. NivardMwageni

    Sasa tumeanza kuijua kazi ya 'Katibu Mkuu Kiongozi'

    Ni kweli kabisa... Wakati wa uongozi wa nyuma hatukuona maana ya wao kuwepo... Lakini sasa hivi hata makatibu wa kila wizara tunaona wajibu wao wanaitekeleza....
  8. NivardMwageni

    UDSM rudisheni pesa za watoto wa kimasikini mlozipokea

    Hawajafanya jambo la kiungwana... Lakini bado nina tupia lawama kwa TCU... Huwa hawazingatii vigezo walivyoambiwa na chuo katika kuwapanga hao wanafunzi.... Lawama hizi zimekuwa zikitolewa mara nyingi sana...
  9. NivardMwageni

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo maswa simiyu nije ruvuma, iringa au mbeya.... idara ni sokondari.... mawasiliano 0754879512 / 0655879512
Back
Top Bottom