Unaonekana bado ni kabinti kadogo. Hata miaka 24 unayosema siamini kama ni kweli maana akili yako ni ya under 20. Endelea kusinzia ukiota waume za watu hadi ukijakuamka uishie kuwa single mother au kuolewa na vibabu vijane ukaitwe mama wa kambo ukalee watoto kama sita huko jumlisha na wako...
Salaam wanajukwaa,
Kwa miaka mingi nimekuwa nikitamani kuwa na kadoti cha shavuni (kama kajiuvimbe). Nikimwangalia Jokate anapendezea sana na kale kakidoti kake.
Naomba wataalam wa maswala ya urembo kama kuna anayefahamu jinsi gani naweza kutengeneza kidoti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.