Yaani watu mnamambo humu...sasa we unayesema kuna kitu naficha, kipi??? Nashukuru wote mlionipa ushirikiano sio mda wote mtu atakuwa online pia kuna kazi nyingine za kufanya wapenzi....ila nashukuru kupata marafiki wa kuchat...
Hey wapendwa,
Nahitaji marafiki wa kuchart na kubadilishana mawazo. Pia napenda kujifunza mengi kupitia watu mbalimbali sibagui dini.
jinsia wala kabila.
Napatikana survey kabla hujafika chuo cha ardhi dar , mashati yapo yenye bei tofauti kuna ya elfu kumi na tano ,elf ishirini na elfu kumi... Kwa atakaye hitaji asisite kunicheck 0717252513
Mim ni msichana wa miaka 25, natafuta kazi jamani!
Nina Diploma ya Record Management katika Chuo cha Utumishi wa Umma, nina uzoefu wa miaka miwili nimefanya kazi katika ofisi tofauti katika nafasi ya secretary na customer agent, pia kwa sasa najihusisha na biashara ya mashati ya vitenge kwa...
Me nakushauri tafuta wataalam wanaojua mambo wakupe ushauri pia watakupa njia za kufanya..hata mkeo nae hakuomba kuwa na maumbile makubwa hivyo...tafuta njia za kumsaidia mkeo ili mdumishe ndoa yenu waone hata madoct km ikiwezekana watajua jinsi gani ya kukusaidia ...kuchepuka sio solution...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.