Jiunge na CHADEMA ndicho chama pekee Tanzania ambacho huwatuma mawakili wake kila siku kuwatetea watumishi wa umma na watanzania kwa ujumla pale serikali inapowaonea watumshi wake.Vingine vyote vilivyoba ni matawi yaCcm bayo watumishi wanaponyanyaswa na serikali yenyewe huwazuga wanachama wao...
Unauliza swali gani kwa mbowe? Swali hilo unatakiwa umuilize Majaliwa aliyeunda tume kwa raslimali za taifa kwa ajili ya kumtafuta mnyama ,Faru na sasa amekaa kimya juu ya suala la saanane bila kujali kuwa saanane ni kijana aliyekuwa nguvu kazi ya taifa hili na anathamani kubwa sana kuliko Faru...
Kame kuuma.umesahau kuwa siasa ni maisha unataka waache kuhubiri siasa wakati madawa ya kulevya yanahubiriwa ikulu pia vyeti feki vikihubiriwa ikulu.but the way gwajima amehubiri vyeti feki na kuwaeleza wanafamilia wake kuwa ukifoji cheti usitegemee atakuombea ili kiwe original kama anavyofanya...
Yote hayo ameyataka magufuli kuanzisha uhakiki wa vyeti feki.Sasa Daud Albert Bashite atwambie yeye aliponaje uhakiki na magu anatakiwa amfute haraka vinginevyo wale wote walioondolewa kazini kwa hoja ya vyeti waeudishwe ofisini na magu awaombe radhi watanzania kwa operation feki ya vyeti kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.