Recent content by Nimepigika

  1. Nimepigika

    The worst valentine's day

    hahaaa mapenz ya fb noma jaman
  2. Nimepigika

    The worst valentine's day

    THE WORST VALENTINE’S DAY 0683213365 “….kwa,kwa,kwa” ile sauti ya viatu bado ilisikika ikitembea katika korido ya nyumbani kwangu na hali ya hewa ilikuwa ya upepo mkubwa..hofu ilitaka kunikamata lakini nilihisi kuwa naota na hivyo nilitoka tena kwa mara nyingine taratibu nikichungulia ni nani...
  3. Nimepigika

    Dhuluma na Ujanja Ujanja

    Takribani miezi minne sasa wahitimu wa tumaini university iringa wamemaliza chuo lakini cha kushangaza ela yao ya tahadhari hawajarudishiwa hadi leo ambayo ni shilingi elfu 50 kwa kila mmoja...huu ni muendelezo wa urasimu wenye nia ya kuwapoteza maboya na hatimaye ela izo kupigwa na...
  4. Nimepigika

    Why Zitto's disapproval of Mtwara to Dar-pipeline is ill advised

    Tumia kiswahili tafadhali kama unaongelea maswala ya tanzania yetu..sijaisoma mana cjui kingereza
  5. Nimepigika

    Mtajeni Mwanasiasa Aliyetema Pumba Zaidi 2012

    Nape moses nnauye na lusinde domo kaya...bila kumuacha baba january
  6. Nimepigika

    Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

    Sasa siku zote ulikuwa wapi kupinga sheria ya kulipa haya malimbikizi?kwann uanze kupinga ulipwaji wa Lema badala ya kuanza kupinga sheria iliyopitishwa na bunge lenye wabunge wengi wa ccm ili kuhalalisha ulipwaji huu wa mamilioni ya shilingi??HOJA YAKO NI NZURI ILA IMEKAA KISHABIKI
  7. Nimepigika

    Jaji wa mahakama kuu Arusha awajibishwe

    Kama JAJI ana historia ya KUPIGWA CHINI KWA KESI ZAKE KILA ZIKIENDA KWENYE RUFAA TENA KWA FORESEEABLE GROUND KAMA HII YA LOCUS STAND...kuna haja gani ya MAMLAKA YA UTEUZI KUENDELEA KUMUACHIE AWE JAJI? JE NI WANGAPI WAMEENDA JELA KWA UAMUZI WAKE MBOVU NA KWA ELIMU YAKE YA KUGOOGLE?? Je ni akili...
Back
Top Bottom