Show nzuri, hongera lara1 Gfsonwin dada maswali umejibu vizuri sana ofoz nlitegemea hicho, ktk watu wanaonivutia sana jf ww moja wapo, nkisoma commets zako post zako zinaonesha n mwanadada makini zinamafunzo
Jaribu kwenda kw madoctor wa neurology, anaweza kuchange dawa akapawa ambayo haiwezi kumuathiri mtoto tumboni (less or non teratojenic drug) , ithink dr amesema hawezi kuzaa kutokana na dawa anazotumia,,ataweza kuzaa inshaAlah
Hapana kingasti sio dawa ya pumu, hi inatumika kutibu maradhi yanayoathiri mfumo wa ubongo mfano epilepsi yani kifafa, au wangonjwa wa madawa ya kulevya.. Etc
upo sawa kabisa FP ila kunenepa si sababu ya kuachwa na unene wa kuzaa haondoki mara moja mana unatakiwa unyonyeshe pia so within a time atakonda ajitahidi na mazoezi
Uamuzi wa halali hukumu iso hatia, itakuwa ni muhali kimoja kukionea laumu vyote viwili usilaumu kimoja,,..
jicho ndilo la awali mashaka kukuletea, moyo ukawa wa pili mashakani kukutia adui hawa wawili walaumu wote pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.