Recent content by nilkarish

  1. nilkarish

    nilaumu macho akili au moyo?

    shair zuri mashaAlah
  2. nilkarish

    MMU EXCLUSIVE!!!!! GFSONWIN Anafunguka kuhusu Maswala Mazito ya Kindoa!(Hii ni badala ya kesho!)

    Show nzuri, hongera lara1 Gfsonwin dada maswali umejibu vizuri sana ofoz nlitegemea hicho, ktk watu wanaonivutia sana jf ww moja wapo, nkisoma commets zako post zako zinaonesha n mwanadada makini zinamafunzo
  3. nilkarish

    Yamenikuta jamani!!!!!!

    Jaribu kwenda kw madoctor wa neurology, anaweza kuchange dawa akapawa ambayo haiwezi kumuathiri mtoto tumboni (less or non teratojenic drug) , ithink dr amesema hawezi kuzaa kutokana na dawa anazotumia,,ataweza kuzaa inshaAlah
  4. nilkarish

    Yamenikuta jamani!!!!!!

    Hapana kingasti sio dawa ya pumu, hi inatumika kutibu maradhi yanayoathiri mfumo wa ubongo mfano epilepsi yani kifafa, au wangonjwa wa madawa ya kulevya.. Etc
  5. nilkarish

    Back from Honeymoon

    MUNGU AKUJALIE AWE MKE MKEO SIO MKE NA WENZIO.,:majani7:(just joke).. hongera kaka muwena barka ktk ndoa yenu
  6. nilkarish

    Wanaume Wajikomboa na Uzombiii/Ubwenyenye; Wanawake Fungeni Mikanda!

    lara 1 bana vistori vyako unavotiririka huwa vinanifurahisha sna,, thnx dia... pole kw shosti wako, michango ya harusi amlipe mchaga tu
  7. nilkarish

    Maisha plus ni hatari mwaka huu.

    kabla ya kupelekwa huko walipimwa afya zao kweli? pengine mtu hata mazoezi hafanyi ukambebeshe magogo si kutafuta matatizo huko
  8. nilkarish

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    zipo cream pia zinapatikana pharmacy nadhani.. pia mazoezi muhimu,,
  9. nilkarish

    Detoriarating Sex Life!!!! (Anataka Kumuacha Mkewe)

    upo sawa kabisa FP ila kunenepa si sababu ya kuachwa na unene wa kuzaa haondoki mara moja mana unatakiwa unyonyeshe pia so within a time atakonda ajitahidi na mazoezi
  10. nilkarish

    Detoriarating Sex Life!!!! (Anataka Kumuacha Mkewe)

    just mfano tu ,, ila naweza kuitoa nisiuze sura ya harusi wa watuu hahahaa
  11. nilkarish

    Detoriarating Sex Life!!!! (Anataka Kumuacha Mkewe)

    kipendacho roho kibonge utamuona kijitii hahahhaa
  12. nilkarish

    Love

    Uamuzi wa halali hukumu iso hatia, itakuwa ni muhali kimoja kukionea laumu vyote viwili usilaumu kimoja,,.. jicho ndilo la awali mashaka kukuletea, moyo ukawa wa pili mashakani kukutia adui hawa wawili walaumu wote pia
  13. nilkarish

    Happy thanks giving kwa wapendanao mpikie umpendae na siku yakuwa na family

    natalia usisahau ukinunua mzungu ndo abebe,, kumbe wake wa muzunguu , matawi ya juu km natalia wanakimbilia vya selii piia!!:confused2:
  14. nilkarish

    Why do men "pull away" sometimes...

    na ww umeona ennh snowball km tumepigwa changa kimtindo
Back
Top Bottom