- Thread starter
- #21
LED Za kumwaga SAMS halafu mimi nakaa gulford ct yaani hamna mwafrika hata mmoja wazungu tuu.sasa Mbona raha hamna watu mlangoni wala nini.halafu hata zile HDTV Yale na tv makubwaa ya kwanza kutoka yaani 70 inch dollar 450 hili kuna mtu bongo atanunua kwa million 8.ufisadi inaendelea
Mmh Natalia bwana, labda hilo 70 inch kwa $450 ni TV aina ya INSIGNIA, nina uhakika sio Sumsung!.
Hongera kwa kutojua kupika mdada. Kama unapenda kula vyakula vizuri utajua kupika tu,
nakupa like