Recent content by Nilie Filisika

  1. Nilie Filisika

    Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

    We kweli Barafu ila iliyo poa..mahaba yako ya ccm yanakufumba uwezo wa kufikili web?? Unaongea hoja rahisi ambayo majibu unayo kabisa acha uzamani ww
  2. Nilie Filisika

    Kitakachowaua UKAWA wasichukue nchi Oktoba hiki hapa!

    Boya kweli ww Faizafoxy unatoa mada na kuchangia ujinga at per..rudi wakuambie upya na kilicho fanya asihutubie geita ni sound ilikuwa below standard na nenda hapo masaki kambi yenu wakwambie magufuli kilimkuta nini Mbeya baada Pacemaker kutaka kugoma akiwa jukwaani..magifuli mgonjwa mbaya na...
  3. Nilie Filisika

    Regina Lowassa ashindwa kujizuia kwa mumewe, mahaba Live Mbele ya Umati

    Ndio mapenzi sio hapo tu hata kusaidia kutimiza malengo..hiyo asiye jua hata historia anasema Saddam ni rais wa kuwait mkewe kamshinda..anataka urais wa nchi wakati bado anapractice DOMESTIC VIOLENCE.anakuaje rais wa Tz
  4. Nilie Filisika

    Je, Mungu yupo bado na CHADEMA?

    Kama shetani hivi Gamba hili lilivyo jiinua hapa..peleka utoko huo Lumumba njaa zitawaua pussy ww fuata akili na moyo sio mnawekwa hapo Masaki kufanya ujinga mnatumika kama Condom
  5. Nilie Filisika

    Kauli za Mbowe zaleta ukakasi kwa wananchi

    Swali zuri ila kwa sasa sio muda wake tutakujibu vema ukishapigia kura kwa Edward Lowassa october then njoo hilo swali bandugu
  6. Nilie Filisika

    Je, Mungu yupo bado na CHADEMA?

    Hayo maoni yako hapa sisi ni safari mpaka ikulu ndani ya october
  7. Nilie Filisika

    UKAWA wachanganyikiwa!

    Hatuna sababu ya kutoa sababu ndugu..hapa ni safari mpaka ikulu this time
  8. Nilie Filisika

    Mwigulu Afukuzwa toka Timu ya Magufuli

    Amfukuze na yeye aje Ukawa
  9. Nilie Filisika

    Viongozi Wakuu wa NCCR - Mageuzi Watoa Tamko, Waikosoa UKAWA

    Hadithi hii hiyo sio huyo tu hata akiondoka Mbowe sisi tutanataka Mabadiriko na Lowassa kama kiongozi mwaka huu
  10. Nilie Filisika

    Kagame:Democracy is not only preached but practised.

    Ajabu kabisa kwa mara kwanza mmoja wa marais wa jumuiya ya afrika mashariki nae ni Paul Kagame rais wa Rwanda hasa alipo kaririwa na vyombo vya habari katika mazungumzo yake na vyombo vya habari akisema ..na nukuu kwa tafsiri "kuhubiri demokrasia ni jambo moja ila kuifanya demokrasia ni jambo...
  11. Nilie Filisika

    Magufuli Anaweza Akaikosesha Hata Nafadi Ya Pili CCM ktk Uchaguzi Mkuu 2015 wakazidiwa na ACT Wazale

    Nashangaa kuona katikati ya mambo makini na kuwaza mlango wa kutokea ndipo Mgombea urais anae obyesha kukosa mvuto kiasi kikubwa kupitia CCM ndg Magufuli akitia aibu kwa bri rahisi pale anapo ibuka na kudai kwamba Upinzani hawa jipya na kuwa wameiga hata nyimbo yao ya "Alimselema" kweli ni...
  12. Nilie Filisika

    Usiruhusu ukada ukutie upofu kiasi cha kukataa ukweli

    Kiukweli kama kweli twaitakia mema nchi yetu ni vema tukakubaliana kukubaliana juu nguvu ya CHADEMA na UKAWA katika Siasa za nchii hii hasa mwaka huu wa uchaguzi kiliko sisi CCM tujifanyapo hatuoni na kujitia upofu kwa kauli nyepesi mwishoe tutazoea kauli zetu na kubeza nguvu za hawa jamaa na...
  13. Nilie Filisika

    Updates kutoka Zanzibar: Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA

    Simiyu Yetu..utakuwa na makengeza mzee..usione mafuriko vepee mzee..uccm usikutie upofu kama umepevuka kiasa kweli pokea ukweli pale kweli inapokujia udibjshane na ukweli kigogo..babu nyota kmewaka na huu ni mwaka wake na hamuwezi kumzimisha kwa maneno mepesi hivyo boresha kauli wazeee
  14. Nilie Filisika

    Pigo la kwanza: Arusha mjini na Hai kurudi CCM!!

    Umerogwa jamaa sio bure
Back
Top Bottom