chaupimbi
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 206
- 61
Kama ni football watani wa jadi wanapambana CCM 3 UKAWA 1 kazi kwenu.
Unatafuta bwana..sura yenyewe ya babako...
Kama ni football watani wa jadi wanapambana CCM 3 UKAWA 1 kazi kwenu.
moja ya matatizo makubwa wanayoumwa UKAWA ni huu ugonjwa hapo juu na viroba. hamuwezi kushinda kwa hoja mmebaki ushabiki tu. Hizi siasa tu ndugu yangu tar25 mwisho, maisha lazima yaendele Tanzania.
Kalale umeshiba we hapo ndo ulipoishia..unaona.... UKAWA naendelea kusisitiza huu ugonjwa sijui mtapona lini...!! sawa endeleeni....
Uloi nga mâché68;14021815 said:Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA, mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji, Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA.
Mtashangaa sana
Mtaisoma namba mwaka huu, mmeacha watu wazima mkaenda kuokota maradhi, kachezeni sasa, Jana mnaahirisha mkutano Geita kwa cheap reason Ati mike hazisikiki, mboma Lisu alipokuwa anaongea kuahirisha mkutano alisikika? Ati jukwaa Dogo, hamkujua kama mna mkutano Jana? Hali ya mgombea ilikuwa tete, bado siku 38 mtasingizia kila kitu Hadi mtamaliza muumbuke,, walafi wakubwa wa madaraka nyie
Kalale umeshiba we hapo ndo ulipoishia..
Uloi nga mâché68;14022084 said:UKAWA ingekuwepo Vijijini na Vitongojini isingeambulia 20% Uchaguzi wa Serikali za Mitaa miezi 10 iliyopita! KIMEBADILIKA NINI SASA?
moja ya matatizo makubwa wanayoumwa UKAWA ni huu ugonjwa hapo juu na viroba. hamuwezi kushinda kwa hoja mmebaki ushabiki tu. Hizi siasa tu ndugu yangu tar25 mwisho, maisha lazima yaendele Tanzania.
ccm hamna namna ya kuwin huu uchaguzi hadi mkwibe tukura japo mjazilizie ingawa hazitatosha kwani ukawa itawaacha mbali sana!!!!
watu mnakalia kutoa mitusi hadharani kama watoto badala ya kusema mipango yenu ya kuliendeleza Taifa!!??!!!
''Hapa kazi tu''
UKAWA imetabiriwa ndani ya bibla someni Zaburi 32:9 mtawafahamu ni akina nani mbele za mungu. Ameni
Lowasa wamemkomesha mwaka huu kuna midahalo yaani nitacheka mpaka nife na mdahalo mwenyewe Massa 3,kwisha