Recent content by Nikupa

  1. N

    Dawa ya simba kusonga mbele ni kukubali yanga wapo mbele zaidi yao.!

    Mbona walishakubali siku nying ,,
  2. N

    Nitajuaje simu ninayotaka kununua ni ya mkopo?

    Fanya kama unataka kuifanyia factory reset,. Ikiwa ya mkopo haikubal .
  3. N

    Mo Dewji aweke wazi Bilioni 20 au aiache Simba yetu. Inauma sana Simba Ile iliyoogopeka na Al Ahly leo kila timu inajipigia

    ujue mashabiki wa simba kuna sehem tunalaumu bila msingi au sababu ,kimsingi kufanya vibaya kwa simba kumpa lawama mo ni kuukimbia ukwel ,mo tokea apo kazi yake kutoa ela iwe usajili ama lingine ,tuambiane ukwel tu simba haina viongozi wenye uchungu na timu wamebaki maneno na uhongo tu...
  4. N

    Simba kufungwa na Raja tumestahili, tujipange msimu ujao

    Mukishinda mnasahau matatizo yenu ukiongea ukweli unaonekana sio shabiki ama hujui mpra ,mimi kila siku nasema simba sana sana viongozi wahuni sana wangekua na weledi na nia nzuri ya vitendo sio maneno mechi ambayo ulikua kipimo na ilionyesha udhaifu na mapungufu yao ni ile ya waliyofungqa nne...
  5. N

    Rasmi: Mnyama Simba kucheza CAF Super cup Agosti, 2023

    Mimi siiamini iko chanzo , , ila ninachoamini ni kwamba ayo mashindano kama yatafanyika kweli simba hawezi kukosa
  6. N

    Uchaguzi ndio njia pekee ya kuwashikisha adabu viongozi wa Simba, mnaajiria kocha msaidizi ili Mgunda na Matola wakadhalilike?

    Mimi kinachonishangaza zaid ,sio kujaza makocha cha kushangaza zaid timu ina tatizo la viwango vya wachezaji timu ina badala ya kutibu tatzo wao wanatibu sehem isiyokua na shida
  7. N

    Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

    Kuwa kiongozi haimaanishi kwamba ndio kwamba una akir ama maarifa kuwazid wengine ,na ndio maana kuna viongozi na bado wana washauri ,wasaidizi na vinginevyo ,mbal mbali sina maana mm nina nina maarifa au akil kuliko wao ,, lakin kwa iz iz akil zangu najua ili baya ama zuri au apa ni sahihi au...
  8. N

    Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

    Ile timu sasa iv haina viongozi ina watu ambayo sijui wana malengo gani na simba kuna muda unaweza kuwaza elimu yao na uwezo wao wa kuongoza taasisi ni kiwango gani kuna mambo wanayafanya ata hakina mzee dalali pamoja na kukosa elimu hawawezi kuyafanya ,,timu ina shida ya wachezaji badala ya...
  9. N

    Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili

    shida ya hii nchi uhuni mwingi , ivyo ivyo wanavyotaka wao bado kuna wahuni watawapitisha wasiostahili
  10. N

    Dalili zinaonesha kuwa Simba hawana malengo na Kombe la CAF

    Kuna wengine wanakushutumu apa ata jezi ya simba hawajawai kununua ,alafu hii tabia sijui imetoka wap kuona viongozi wa ktu fulan au taasisi fulan hawakosei sijui tunaamin wao malaika , hivi kunaitaajika macho mangap kujua pale simba hakupo sawa
  11. N

    KOCHA MKUU SIMBA: Roberto Oliviera (Vipers) vs Julian Chavelier (ASEC Mimosas)

    Kwa wachezaji wale ata hakija mzungu ndio tutafika popote ?
  12. N

    KOCHA MKUU SIMBA: Roberto Oliviera (Vipers) vs Julian Chavelier (ASEC Mimosas)

    Kwa ushauri tu simba waache mambo ya kocha kwanza watulie dilisha dogo waongeze wachezaj muhimu kuanzia watatu ,baaadae ndio watafute kocha mzuri kama hao ,kwa timu ile watakuja kupata hasara bure
  13. N

    Sababu zangu za kuoa single mother

    Hii point yako haijaangalia pande zote ,,,, ww unazan single mother wote ,wameachwa tu ,,kuna kifo kuna matatzo ya hao waliowazalisha ,wengine wao ndo wanaacha kwa sababu mbal mbal mfano unakuta mdada ana akir zake nzur muelewa mstaarabu lakin anazalishwa na mtu ambae sio sahihi ila kwa sababu...
  14. N

    Wana-Simba, mwaka huu ndiyo umeisha; tusubiri usajili wa mwakani

    Mm niliizalau iyo timu tokea msimu ulioisha yani timu zinajiimalisha wao wanasajili hakina muhilu matokeo yake tumeyaona ,nikaisi akil zitawatulia ktk usajili wakafanya ujinga ule ule , yan wanaacha wachezaji wazur wanasajili wachezaji wa aina moja ,kulikua na faida gan kusajil sijui okwa mara...
Back
Top Bottom