njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Najua nitaitwa majina yoote hapa, "shabiki maandazi, hujui mpira wewe, ushawahi kucheza mpira?unachangia sh ngapi"
Kwa kweli ikitokea simba ikachukua ubingwa wa ligi basi itakuwa miujiza mikubwa sana na kufika robo fainali ya CAF itabidi ifanywe sherehe kubwa sana.
Aiseee, eiiish , uuuuuwiiiiiii draw au kufungwa siyo sababu ni kwamba team inachezaje? Israel mwenda kichwa chake kimejaa makamasi , he is a thick head, hivi mna hakika anajua hata kusoma na kuandika yule jamaa?
Hapo kuna watu wanaona bora duchu aendelee kuwepo kwa mkopo ila huyu mwenda aendelee kula mshahar a wa bure hapo sitaki kuongelea suala la NAMBA 6 NA NAMBA 9 ambalo kwa mwaka mzima walikosa wachezaji barani afrika wa kusajili.
Oh GOD
Kwa kweli ikitokea simba ikachukua ubingwa wa ligi basi itakuwa miujiza mikubwa sana na kufika robo fainali ya CAF itabidi ifanywe sherehe kubwa sana.
Aiseee, eiiish , uuuuuwiiiiiii draw au kufungwa siyo sababu ni kwamba team inachezaje? Israel mwenda kichwa chake kimejaa makamasi , he is a thick head, hivi mna hakika anajua hata kusoma na kuandika yule jamaa?
Hapo kuna watu wanaona bora duchu aendelee kuwepo kwa mkopo ila huyu mwenda aendelee kula mshahar a wa bure hapo sitaki kuongelea suala la NAMBA 6 NA NAMBA 9 ambalo kwa mwaka mzima walikosa wachezaji barani afrika wa kusajili.
Oh GOD