Recent content by Nijosnotes

  1. Nijosnotes

    Fahamu kuhusu Tofali Smart. Tuwasiliane ili uboreshe biashara yako

    Je, una biashara ya tofali za block? Unapata changamoto hizi? Kupoteza kumbukumbu za uzalishaji Kutojua stock zilizopo Ugumu wa kuhesabu gharama na faida Kukosa ripoti za haraka na sahihi Suluhisho ni TOFALISMART System Mfumo huu unakusaidia: Kusajili na kufuatilia aina zote za tofali...
  2. Nijosnotes

    Fursa za biashara mtandaoni kwa wajasirimali vijana

    Pitia na hizi Biashara 99 za facebook
  3. Nijosnotes

    Biashara 99 za facebook

    Habari wakuu, Na hii ndio biashara yangu kukusogezea kitabu chenye biashara 99 za facebook. Nina ujuzi wakuendesha biashara mtandaoni hasa kwenye majukwaa kama Facebook na Instagram. Hiki kinakuwa kitabu cha tatu kwangu kuandika. Na kwa msaada wa Akili Mnemba imenirahisishia kazi kubwa ya...
  4. Nijosnotes

    Mwanza Computer Shop: Jipatie Desktop Computer Complete kwa Tsh. 350,000

    ✅ Uwezo wa processor Core i3 3.30Ghz ✅ Kioo nchi 19 ✅ RAM 4GB ✅ HDD 500GB 🔥Tsh. 350,000 Complete pamoja na kioo nchi. 19 wide. 🔥 📌 Refurbished kutoka Dubai MAWASILIANO: 0620748068 LOCATION: Buzuruga Shule, Mwanza
  5. Nijosnotes

    Dating Website designer anahitajika

    template/script ni ya framework gani? laravel/codeigniter/Django n.k
  6. Nijosnotes

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    tunajizuia kufa kwa mambo mengi tu, sio kwa kutibiwa ugonjwa tu! Tuna kula chakula salama ili tusife, tunakunywa maji ili tusife, tunaishi mahala palipo jikinga na salama ili tusife, tuna vuka barabara kwa ungalifu ili tusife. Kuua ni dhambi hata kama utajiua mwenyewe.
  7. Nijosnotes

    David Kafulila: Hakuna siku Serikali itaacha kukopa kwani hata Marekani na China nao wanakopa zaidi ya Tanzania

    nimemuuliza ChatGPT. "Marekani inavyo kopa nisawa na Tanzania inavyo kopa?" MAJIBU. Marekani na Tanzania zote hukopa, lakini kuna tofauti kubwa katika jinsi zinavyofanya hivyo na vyanzo vya mikopo yao. 1. Marekani Inavyokopa Marekani hukopa pesa kwa kuuza dhamana za serikali (Treasury...
  8. Nijosnotes

    Naomba ushauri wenu kuhusu changamoto na za hizi brand za asus

    Stori kidogo kuhusu Asus ni kwamba ilianzishwa na wa fanyakazi wa Acer ambazo zote ni kampuni za Taiwan. Asus sasahivi ni kampuni namba tano duniani kwa uuzaji wa Kompyuta. Asus ana tengeneza motherboard zake mwenyewe kama zilivyokampuni nyingi za Taiwan ambapo kampuni kama Microsoft...
  9. Nijosnotes

    Msaada jamani biashara yangu inakufa

    sijajua upo mkoa gani lakini kampuni za kukopesha wafanyabiashara ni nyingi mno mitaani huko
  10. Nijosnotes

    Msaada computer inaniumiza kichwa

    Kuna mawili disk yenye windows inapaswa kuwa ya kwanza, kwenye Boot sequence(hii setting ipo kwenye BIOS) ama pengine settings zako zinahitaji RAID disk na disk zako zimesoma Non RAID, pia setting ipo kwenye BIOS either uweke Legacy au option ingine jaribu kuboot tena. Kama una uweza kuingia...
  11. Nijosnotes

    Haya ni mazao matano ambayo hayana mkono wa Serikali, ukikaza huko unachomoka na pesa

    Watu wanavyo lalamika hapa sijui kilimo kigumu, sijui mazao yanaharibika. Mimi naona mleta mada yupo sahihi, sijawahi kusikia wauza chips wanalalamika viazi hakuna sokoni sasa wanaolima ni kinanani na kwanini hawaachi kama hawapati faida, the same kwenye ngano, mpunga, viungo vinapatika na...
  12. Nijosnotes

    Ushauri: Rangi za Bendera ya Taifa zifutwe katika sakafu za ndani ya Bunge

    Bendera ni rangi, hakuna kingine kitatambulisha kwamba hii ni bendera pasipo rangi, itakua shuka tu.
  13. Nijosnotes

    John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

    Ndio mwisho nimeweka positive thinking hata hivyo ameshapumzika, hakuna kilichotokea tunachoweza kubadili. Kama tupo kwenye njia sahihi basi tuinadi kwanguvu hii njia sahihi.
  14. Nijosnotes

    Ushauri wa namna ya kujiajiri Kwa vijana waliohitimu vyuo vikuu

    Chagua kati ya hardware au software ama yote kwa pamoja kwenye computer,. Ukimaliza chuo tafuta frame tengeneza pc, weka windows, uza acceaaories za pc, ukipata mtaji zaidi uza pc, ama kodi frame kubwa kidogo fundisha computer,... Coding na Programming inachelewesha kutoka huku mtaani, labda...
Back
Top Bottom