Habarini wana jamvi, hivi hii gari Nissan Dualis ya kuanzia 2007 mpaka 2010, ni gari imara? Je inaweza kustahimili mikiki mikiki ya barabara zetu za mashimo? Ulaji wa mafuta umekaaje?
Nahitaji mawazo yenu kabla sijafanya maamuzi ya kununua.
Habari wana forum
Kuna mjadala hapa tunajadili "Je kufanyiwa scrub ya usoni na muathirika wa virusi vya ukimwi kunaweza kusababisha kuambukizwa virusi vya ukimwi ?"
Game zinazo nichukulia time sana
1. Need for speed payback
2. Fifa 19
3. Conflict storm(global)
4.Need for speed the run
5.Euro Truck Simulator 2(beyond baltic)
Mzee yaani S 6 au S 6 edge plus hua zina magonjwa mengi sana, kingine sim hii s6 edge plus kioo chake kina wahi kuvunjika coz hazina gorilla glas iliyo imara kama iliyopo kwenye s8.
Sasa website zinazo toa ressurection rmx ni nyingi... Hebu jaribu kudownload ressuruction rmx kutoka webu nyingine ambayo iko trusted... After that umesema sim uki connect na pc haisomi sasa toa memory card yako hiyo ya external weka kwenye kadi Reader then connect na pc, baax
Da ya hivyo...
Unaweza kufanya pc yako inayo tumia window os kama vile window 7,8 na 10 kuwa na mwinekano mzuri wa Pc aina ya Apple... Chakufanya nikudownload na kuinstall kitu kinacho itwa Yosemite skinpack then uigrant administrator permission as default.. tumia link hii
macOS Sierra SkinPack
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.