sasa tufanye hivi. Ukawa wajifariji na ccm waseme hakuna kitakachotokea then mwisho siku tutajua mbivu na mbichi. but ccm will never walk away with this, not this time
to be honest, this country needs rebels!! rebels who will force a government to rule in citizen needs accordance because we citizens we are cowards enough to stand for our rights
ni wakati sahihi wa hii nchi kuwa na waasi!! unaweza ukaona ni comment ya ajab lakin ukweli ni kwamba wale jamaa wanamchango mkubwa sana hasa kwa nchi ambayo wananchi wake ni waoga like us
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.