Nick fourteen
Member
- Mar 8, 2014
- 21
- 15
Watanzania tulio wengi tuna jua kaskazini mnayenu lkn ndio hivyo tena Maan ni watu wenye tamaa sn watu WA pande hizo.
ushuzi huu....kaskazini ndo inarun tz incase u ddnt know
Watanzania tulio wengi tuna jua kaskazini mnayenu lkn ndio hivyo tena Maan ni watu wenye tamaa sn watu WA pande hizo.
Wakuu
Arusha inasubiri kwa hamu siku ya kumchagua mbunge wetu atakayetufuta machozi yetu
Arusha tunaenda kupiga kura za hasira dhidi ya ccm kama tulivyowatandika bao 24-1
Tunamkubali sana Godbless kwa kuwa hana uoga na kwa jinsi uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa na NEC hakika tutalipiza kwa hasira dhidi ya Mollel Monaban.
Lema upate usingizi mnono tutakupa kura nyingi ARUSHA MJINI.