Nahisi kichwa changu kimechoshwa na kusolve matatizo ya walimwengu kila uchao. Leo ukifikiria kuhusu hili, kesho linaibuka jingine. Sasa kwa mchoko huu, nitakwenda mapumzikoni kwa mwezi mmoja. Na hapa nitakuwa naingia kama guest.
I go with the full confidence kwamba JF ni jungu kuu lisilokosa...
Angalau TAKUKURU wamethubutu... Sasa wataweza na watazidi kusonga mbele. Ila rushwa kubwa kubwa ziko kwenye mikataba ya manunuzi ya umma. Kila tenda inapotangazwa na evaluation kufanyika, TAKUKURU iwe inapitia taarifa za kamati ya evaluation na kupitia taarifa za bidders na winners wa tender ili...
Huwezi linganisha faida ya mtu mwenye gari lililotengenezwa miaka 20 iliyopita na gari jipya. Haya ma Coaster unayoyaina ni mengi ni ya mwaka 1997 kurudi nyuma! Ni vyuma chakavu.
Ha hahaa! Mnagawana majengo ya serikali... Alafu unaenda kule kufungwa maisha unakosa opportunity ya kula papuchi. Si bora umuache uvute kifaa kingine? Kwani wanawake wamekwisha?
Ulipokuwa unajenga nyumba yako Mbezi au Kibamba, ulikuwa unategemea muujiza gani wa kufika mjini? Kama kipato chako ni kidogo, tafuta Phoenix yako. Unapanda taratibu unayonga unafika kazini bila kulipa hata sh mia. Tatizo tunapenda some one else to take a cost burden. We like to live at the...
Huwezi fanya biashara ya dala dala kwa mabasi mapya ukapata faida. Ili kuboresha huduma ya mwendo kasi, serikali inabidi iridhie kupanda kwa nauli toka Tsh 650 hadi angalau Tsh 900!
Yani mtoa huduma UDART awe na mabasi ya aina mbili. Ordanary na 'Luxury'. Haya ya luxury yawe ndio ya nauli ya Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.