Nashukuru kwa wote mlionipatia pole, wengine matusi wengine uandishi mbovu wengine fala, wengine boya wengine nikome uzinzi n.k. La muhimu ni kuwatahadhalisha wengine ndugu,jirani,rafiki n.k wasije wakawa zoba Kama Mimi nilivyofanywa kwa muda wote huo. Pia kwa Sasa ndio naona mapambazuko nami...
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na familia hivyo tukawa na mahusiano ya Siri kubwa Sana.
Sasa mwaka 2017 katika mahusiano akasema...
Kwa kweli suala la mbolea ni changamoto Sana bei ziko juu Sana, Ndugu yangu nilimtumia akununue kg50 shs 115000 ya kukuzia baada ya siku tatu kwenda kg50 shs 135000 hii ni Iringa Nyololo village.
Mwambie aende kwa mwamposa Kawe yatatoka Mara moja na Wala hayatarudi tena, Mimi ni andugu yangu yalimtesa miaka kumi na mbili alikuwa anaombewa yanaondoka kimya-kimya. Kumbe danganya toto Ila tulipochukua mafuta na maji anywe na apake yalipiga kelele yakatoka Moja kwa moja hadi Sasa Yuko free.
Asante kwa update mkuu ubarikiwe kwa kweli ni kichekesho mhusika anasema alifika Tazara wao shahidi wa Jana anasema hawakufikishwa ndio maana waliunganisha karatasi lakini wakili wa utetezi wakijua janja Yao wakaumbuka kwa maswali.
Mashahidi wote ukiangalia wanazungumzia Sana ukamataji zaidi na wote asilimia kubwa ni askari kwa uwingi wao itachukua muda mrefu huku watuhumiwa wakiwa wanatabika gerezani kwa kesi isiyo na kichwa Wala miguu.
Hilo la kusafiri mabasi usiku lilikuwepo mabasi ya majinja kwenda Mbeya wakati wa magufuli, baada ya kufariki nasikia mama kayapiga stop kwa kweli yalikuwa yanatusaidia Sana wafanyabiashara na kupunguza gharama za kulala hapa Dar tukitokea mikoani.
Ubarikiwe na Bwana mkuu kwa kutupatia kila kinachoendelea hapo mahakamani kwa hii kesi ya kubumba ukweli na uongo utajulikana Mungu atakuwa upande wa akina mbowe.
Mungu yupo upande wa chadema ndio maana Mara nyingi upande wa mashahidi wa upande wa pili huwa wanaumwa kwa hofu ya kutunga ushahidi wa uongo Kama mbowe hakuwahi kumiliki line ya tigo
Uonevu unamwisho wake ndio maana walisema za mwizo siku arobaini ndizo hizi walikuwa hawajulikani Sasa Mungu kawaweka kweupe wangejua kuwa yangekuja kujulikana wasingethubutu kufungua kesi hii Sasa inawaumbua wao wenyewe.
Mungu ingilia Kati kwa kweli kwa ushahidi wa mtuhumiwa inaonyesha kuwa yote walioongea ni uongo tupu kuwa hawakuwapiga,pia kuwa walikuwa nao sehemu mbalimbali wakimtafta mtuhumiwa mwingine.mithali 14:34 haki huinua Taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.