Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,243
- 1,769
Vipi kama shahidi anayeongelewa ni Sabaya, maana nae kaugua na nasikia yupo kwenye orodha.
Wanaloga balaa! hadi mashahidi wanasahau baadhi ya maneno, aisee!! pia kuna wabibi/wamama wamebeba madude ya ajabu kwenye mikoba yao, unawakuta wamejibanza katikati ya ukumbi wanafanya mambo yao! Duh! aise wamezidi.Mchawi wao namba moja ni yule Askofu Mwamakula, ndio ana tunguli zote, mzuieni asiingie mahakamani.
Labda shahidi alikua hajakariri point zake za uongo za kwenda kusema mbele ya mahakamaBaada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi ilisikiliza shahidi ambae ni mwanasheria wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo. Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.
=========
Jaji ameingia..
Kesi inatajwa..
Robert Kidando anatambulisha Jopo la mawakili wa serikali Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi Jaji anawaita washtakiwa na wote wanaitika kwa kusimama
Wakili wa Serikali: Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa. Mpaka Jana Jioni tulipata Shahidi ambaye tulipanga Kuja naye Leo. Lakini Asubuhi amepata Tatizo la Ki Afya lililosababisha Kushindwa Kuja Mahakamani. Kwa sababu hiyo tunaomba Hairisho Mpaka Kesho
Wakili wa Serikali: Na Kwamba Kwa sababu hii ipo Nje ya Uwezo Wetu pia tunaweza Kupata Shahidi Mwingine
Jaji: Wakili wa Utetezi, Kibatala: Kwa Kufuata amri ya mahakama Iliyokuwa imetolewa Jana, sisi kwa upande wetu tulikuwa tumejiandaa vizuri, Lakini kama wenzetu wanasema hivyo ndiyo Ilivyo tunaomba wenzetu kesho wajitahidi, tuweze kuendelea ili tuweze kumalizia kwa wakati
Jaji: umezungumzia Kwa niaba ya wote au!? Kibatala: kwa niaba ya wote Mheshimiwa Jaji anainama, anaandika. Mahakama ipo kimya wakati Jaji akieendelea kuandika Sura za watu wengi zimeweka makunyanzi Washtakiwa wanacheka na kunong'onezana Jambo fulani, hatuwasikii.
Jaji: kuzingatia maombi yalitolewa na wakili mwandamizi Robert Kidando shahidi kushindwa kufika mahakamani Na kuzingatia ukweli kwamba maombi hayo hayajapingwa na utetezi Nahairisha Shauri mpaka kesho saa 3 ambapo upande wa mashtaka mnaaelekezwa kuleta mashahidi
Jaji anatoka!
Zitakua za kweli mkuu, hata ningekua mimi ningeingia mitini maana kutetea uongo dio kazi ndogo, yale maswali ya Kibatala na Malya wewe huyaogopi?Nimekuta mahali taarifa kuwa shahidi wa sita kwenye kesi fake ya Freeman Mbowe Jana aliingia mitini.
Sikusikia taarifa hizi, ila kama ni kweli basi hao mashahidi 20 wengi watapotea au watajipoteza.....
Tulienda mpaka kwake ,habari tulizo zipata ni kuwa aliondoka Kwenda Dsm tangu mwezi September.Anaishi Masaki Kwenye Nyumba maalumIvi walio moshi wameshindwa kabisa kumpata yule muuza mbege
Unatetea uongo baada ya kuapa mbele za Mungu.Zitakua za kweli mkuu, hata ningekua mimi ningeingia mitini maana kutetea uongo dio kazi ndogo, yale maswali ya Kibatala na Malya wewe huyaogopi?
Shida ndio inapoanzia hapo, hadi Mungu anawafunga fahamu wanasahau kila kitu wanachozungumzaUnatetea uongo baada ya kuapa mbele za Mungu.
Sabaya ana tumbo la kuhara, naskia anahara mbege alizokunywa kwa yule shahidi wa Rau madukaniVipi kama shahidi anayeongelewa ni Sabaya, maana nae kaugua na nasikia yupo kwenye orodha…
Kumroga Chizi ni kujipa kazi.acheni kuroga, mnachafua mazingira.
kwani nini hamjiamini?!
Alikuwa anaita anakabwa 😂😂😂Wakili wa tigo nadhani usiku wa kuamkia leo ilikua ni mwendo wa nightmare