Sugu unapolishwa maneno na mbowe ukaongee bungeni changanya na akili zako tunatambua huna uwezo wa kujibishana kwa hoja na zzk.Kashindwa mama kifalanga,kifalanga wee ndo utaweza, kipindi cha mgogolo mbowe aliahidi kufungua kesi zidi ya zitto kabwe lakini mpaka leo hajafungua.Na wote mlio...
Nianze kwa kuwapongeza wana jf kwa michango yenu mizuri zidi ya huu uzi.Wenje haelewi mana ya usalama, uwaziri kivuli wa mambo ya inje na mambo ya kimataifa hauwezi ni mzigo kwake.TANZANIA haikukulupuka kuungana na majeshi ya malawi na s.afrika kule DRC umoja wa mataifa ndio ulio zituma...
Ukawa ni mwanvuli unaotumiwa na vyama vilivyo shindwa haswa chadema ili 2015 waanguke vizuri asipatikane wa kumulaumu mwenzake na dalili za kuanguka zimezihilika kalenga na chalinze hawana hamu yaliyowakuta huko yanajiludia 2015 wakiwa na ukawa sunajua kifo cha wengi halusi.
Kadri siku zinavyokwenda treni ya cdm kasi inazidi kupungua kwenye vituo ikisimama abilia wanashuka hakuna wanao panda.Namashaka hii garimoshi mpaka 2015 litafika station na abilia 6 ambao ni viongozi wake,ukiwafungua mioyo zao hao ukaona walvyo huwezi tamani kusikia neno cdm.Wanapo kwenda mbele...
Wachimbaji wadogo wadogo maarufu kama wangoni kiji cha nyakabale kilichopo karibu na mgodi wa zahabu GGM mmoja amejeruhiwa na lisasi ya mkononi na walinzi alipojaribu kukimbia na mawe ya dhahabu mali ya GGM.Mwingine ilipita ubavu wa kushoto akikimbia kuelekea polini.Tukio lingine lina siku kam 4...
Hawa cdm hata muungano hawautaki wanataka waubomoe kwa hoja ya selikali tatu.Kwa hili siitaji hata kuwasikia kabisa, taifa kwanza chama baadae, munalusha chopa kushinda hamshindii kidumu chama cha mapinduzi.
Sioni mchango wa cdm kitaifa wameshindwa kutatua migogoro ndani ya chama hawatufai, hata siasa taka wanazo endekeza zimewashinda wamebaki maneno tuu.Chama cha ukweli lazma kitangulize maslai ya taifa kwanza, hawa cdm wamediliki kutetea serikali tatu kwenye rasmu ya katiba mpya ambayo haiwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.