Recent content by NiceBetter

  1. N

    SoC02 Elimu ya Mahusiano ianze kutolewa shuleni

    Hapo kwenye ukatili hapo inabidi kukazia sana, Pia kuna ndoa za kulazimishwa na kurithiwa kwa wake na ndugu wa marehemu yapo mengi sana nadhani ni kweli jamii haina elimu ya kutosha juu ya mahusiano. Makala nzuri sana hii.
  2. N

    Ashikiliwa akituhumiwa kufanya jaribio la kumuua Makamu Raia wa Argentina

    hakufyatua, huenda itakua alikua anapima walinzi kama wapo makini na kiongozi wao
  3. N

    Nimemtia mimba mdogo wake na mpenzi wangu

    Eti shetani alitupitia, kwaiyo kama sio mimba shetani bado angekua na nyie. Kikubwa akapime kama ana ujauzito kweli umuoe yeye uachane na dada yake. Mbali na hapo ukubali kukosa wote
  4. N

    Wako wapi Branch na Tala?

    yani wabongo mtu unamjua tu unamkopesha harudishi sembuse kumkopesha usiyemjua
  5. N

    SoC02 Tanzania na uchumi

    Wakipatikana viongozi bora wanaojali maslahi ya nchi na sio maslahi yao binafsi basi uchumi ni rahisi kukua
Back
Top Bottom