Hapo kwenye ukatili hapo inabidi kukazia sana, Pia kuna ndoa za kulazimishwa na kurithiwa kwa wake na ndugu wa marehemu yapo mengi sana nadhani ni kweli jamii haina elimu ya kutosha juu ya mahusiano.
Makala nzuri sana hii.
Eti shetani alitupitia, kwaiyo kama sio mimba shetani bado angekua na nyie. Kikubwa akapime kama ana ujauzito kweli umuoe yeye uachane na dada yake. Mbali na hapo ukubali kukosa wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.