Endapo Zitto atafukuzwa CHADEMA, chama kitakuwa kwenye hatihati ya kupoteza 45% ya kura za urais ambazo chama kilizipata mwaka 2010.
Ni dhahiri Zitto ndiye kipenzi cha watu kwenye maeneo ambayo CDM inapendwa kukiko sehemu zingine nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.