Kuna wale wapinzani waliotukimbia huku ccm kwa maslahi binafsi sasa wanarudi baada ya vyuma kukaza upande wa kule, wanajaribu upande wa pili waone hali ikoje. Vuguvugu hili LA kuhama linaweza kuwa advantage kwa vyama vya upinzani kwani itawasaidia kuondoa wale wapinzani uchwara wote. Na kwa...
Kiukweli wasanii wetu tuwahurumie kwa sababu soko LA kazi zao kwa sasa siyo zuri, na kama mnavyofahamu msanii yeyote yule bila habari za hapa na pale za Mara kwa Mara zinazomhusu yeye lazima atapotea kwenye ramani.
Ukiangalia kwa sasa kazi zao zilizokuwa zinawafanya watrend kwenye ramani soko...
Ule mwendelezo wa Wanachma wa cha mapinduzi kuipenda kilabu ya Yanga inazidi kujidhihirisha, na awamu hii kuna tetesi kuwa billionaire aliyejizolea umaarufu siku za hivi karibuni Dr Luis Shika amepanga kumwaga mabilioni yake kwa klabu ya Yanga SC.
Mtakumbuka kuwa billionaire huyu alitaka...
Habari wanajf!
Kiukweli usimwamini mwanasiasa hata siku Moja! Mtu yeyote aliyejipambanua kuwa maisha yake yanategemea siasa ili kuweza kusonga mbele usimwamini kwani yeye siasa ni kama kitega uchumi kwake, hivyo hawezi kukubari maisha yaende kombo wakati anaona fursa upande wa pili katika...
Ni ukweli usiopingika kuwa hata mzazi wa Wema Sepetu Atarejea ccm muda si mrefu. Kinachonishangaza ni kitendo cha yeye kujikausha siku ambayo binti yake ametangaza kurejea tena ccm. Inafahamika kuwa nyote mnatakiwa kuja kuungana na sisi na taratibu zote zilishakamilika, sasa nini kimekushinda...
Ni kweli chama chetu kimeridhia kuwapokea wanachama ambao wameamua kurejea nyumbani kwao ambapo wengi was walipakimbia siku za nyuma kwa sababu zao binafsi NASA za kimaslahi.
Lakini ikumbukwe kuwa wahamiaji hawa wakiwa huko kwenye vyama vingine walidiriki kukitukana chama chetu mno, kwa midomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.