Kama mmoja wa watumishi wa afya katika hospitali ya serikali, kuna jambo ambalo nimekuwa nikitamani wananchi walielewe kuhusu hali halisi tunayoipitia sisi tuliopo mstari wa mbele wa utoaji huduma.
Kila siku tunakutana na wagonjwa wengi wenye mahitaji tofauti, wengine wakiwa katika hali za...
Hello.
Dear Ladies.
Nahisi hili Tatizo wengi wenu hamjijui kwa sisi Tunaobahatika kutembea na wanawake tofauti tofauti kuna hadha moja wengi Tunayokutana nayo.
Harufu kali sehemu za siri.
Wanawake hii harufu ni ngumu kuelezea lakini kama mwanaume inaweza isiondoke hata siku 3 kichwani...
Habari.
Mimi sijui nina shida gani wazoefu.
Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu.
Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
Habari .
Kwanini wabunge watanzania wanachangia hoja pasipo kuwa wafuatiliaji wa mambo.
Leo nimeona mbunge mmoja anaongea kuhusiana na hela ya kumuona Daktari (consultation fees)
Hii ni fedha muongozo wake ulipitishwa bungeni na wabunge wakakubali.
Kingine hela ya kumuona Daktari haingii...
Najua wengi ni wahanga.
Weekend karibuni Tujadili hii mada ulifanyaje ulipoona mshahara hautoshi tena na mahitaji ya lazima, madeni yameongezeka.
Hii kada kwa ajili ya waajiliwa mshahara umetoka unajikuta ulichopokea lazima kiende kwenye.
1. CHAKULA hapa ni zaidi ya nusu ya mshahara ulionao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.