Unawezaje kuhandle situation ya kuwa na ugomvi ndani ya nyumba kama familia ikapita wiki 2 bila kuongeleshana wala kusemeshana.
Sababu ya msingi Hamna hasa kwa mwanamke.
Mimi kama mwanaume nimechoka tu kujishusha mara zote nilifanya sababu ya watoto.
Mke ameshikiria kidete anasema anaenda...
Kitu gani kilikufanya usijisikie usitamani tena kuingia nyumba ya ibadani.
Mimi nina mwaka wa 3 niliacha kwenda kanisani baada ya kuona ninayajua mabaya ya waumini wengi kuliko mazuri yao.
Kingine kufanya mapenzi sana na hawa wadada wa kwaya.
Kingine Kuwa mlevi mzinifu nikaona sasa sifai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.