Recent content by Niambie Tu

  1. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    We msenge haujui uuguzi kwa sasa ni kada inayojitegemea hakuna boss wa mwenzake yaani daktari amwite muuguzi asogeze vifaa mke wake au. Fala ww
  2. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Baadhi ya Madaktari na Wafamasia wenye 'access' ya dawa kwenye maeneo yao ya kazi, hutumia fursa hiyo kuzidokoa na kupeleka kwenye maduka yao

    Dawa za serikali zina chapa ya GOT na zina code duka la dawa ukikutwa na hizo unafungiwa...mpuuzi mmoja
  3. N

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipia vipimo kisha nikaambiwa nilipie tena kupewa majibu katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi - Kibaha

    Haulipi kwa masaa 72 yakipita unalipa inakuwa new visit
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ukipata ghafla kwenye maisha yako utasema sasa nimefanikiwa?

    From no where hata ubeti ule million 200 ghafla
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ukipata ghafla kwenye maisha yako utasema sasa nimefanikiwa?

    Kitu gani kwenye maisha ya sasa nwaka 2026 kama utabahatika kukipata ghafla. Utasema sasa nimefanikiwa?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Usitarajie huduma asilimia zote kwenye hospitali za serikali

    Kama mmoja wa watumishi wa afya katika hospitali ya serikali, kuna jambo ambalo nimekuwa nikitamani wananchi walielewe kuhusu hali halisi tunayoipitia sisi tuliopo mstari wa mbele wa utoaji huduma. Kila siku tunakutana na wagonjwa wengi wenye mahitaji tofauti, wengine wakiwa katika hali za...
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mjichunguze harufu mbaya ukeni

    Hello. Dear Ladies. Nahisi hili Tatizo wengi wenu hamjijui kwa sisi Tunaobahatika kutembea na wanawake tofauti tofauti kuna hadha moja wengi Tunayokutana nayo. Harufu kali sehemu za siri. Wanawake hii harufu ni ngumu kuelezea lakini kama mwanaume inaweza isiondoke hata siku 3 kichwani...
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akiwa na harufu namuacha aisee

    Habari. Mimi sijui nina shida gani wazoefu. Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu. Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
  9. N

    JamiiForums Tanzania Inakuaje mbunge Hajui kwamba hela ya kumuona daktari ni ya serikali yao CCM

    Habari . Kwanini wabunge watanzania wanachangia hoja pasipo kuwa wafuatiliaji wa mambo. Leo nimeona mbunge mmoja anaongea kuhusiana na hela ya kumuona Daktari (consultation fees) Hii ni fedha muongozo wake ulipitishwa bungeni na wabunge wakakubali. Kingine hela ya kumuona Daktari haingii...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ulifanya nini ulipogundua mshahara hautoshi tena kukidhi mahitaji yako?

    Najua wengi ni wahanga. Weekend karibuni Tujadili hii mada ulifanyaje ulipoona mshahara hautoshi tena na mahitaji ya lazima, madeni yameongezeka. Hii kada kwa ajili ya waajiliwa mshahara umetoka unajikuta ulichopokea lazima kiende kwenye. 1. CHAKULA hapa ni zaidi ya nusu ya mshahara ulionao...
  11. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke yukoje

    Huyu naona kazidi.
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke yukoje

    Najitahidi sana ila habadiliki
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke yukoje

    Alikuwa vizuri tu amebadilika ghafla tu
  14. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke yukoje

    Hakupi Sasa.
Back
Top Bottom