Sijui kama ninakosea ila ninafikiri siasa za bongo ni upuuzi mtupu na usipokuwa na uwezo wa kutafakari mwenyewe ni hayari sana kwa kuharibika fikra na mutazamo yako,,,,ninafikiri Lema yupo sawa! La msingi ni waakina nchemba,nape,lusinde wakanushe kwa kuongea ukweli sio kushindana!