Asante sana kwa ushauri wengi wamekuja inbox na wengi wamenishauri njia moja ya kupona ni kuamwua kuwa na yesu kama ni hilo tu mimi sioni kama nitashindwa ingawa najua kila jambo linachangamoto zake. nimekubali kuokoka uzuri mimi ni mkristo tangu tangu udogo wangu lakini sikuwa mwokovu...
Habari zenu wana JF
Mimi sio mwenyeji katika mtandao huu lakini imenibidi niwe na akaunti, pia si mwandishi mzuri lakini mtanielewa kwa hiki nitakacholeelezea.
Niliolewa miaka 6 iliyopita na tumebahatika kupata mtoto wa kiume ambaye kwakweli alileta furaha kwenye nyumba yetu.
Wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.