Hapana Bashite hawezi kufungwa kirahisi hivyo, kipindi cha utawala wake Nchini Darisalama Mateja walipungua sana! kuna haja apewe kitengo kingine anafaa sana. kumpeleka jela ni kupoteza watu muhimu katika jamii.
Dini zilizoletwa na meli na majahazi Afrika zinaleta shida sana. Kama zilivyofanya kazi enzi hizo za kutugawa Waafrika bado zinaendelea hadi leo.
Tunafarakana kwa sababu ya dini zao na waliozileta wanaona raha tunavyo hangaika nazo.
Uislam na ukristo vyote vinalenga kuabudu mizimu yaani watu...
Kuna vipi tuviachie vyombo vya ulinzi na usalama vifanye na kujisimamia vyenyewe. Visipofanya wengi husema hata havipo na ni dhaifu, vikifanya vinageuka kuwa vikwazo mara vinaonea watu bure. Yanayo mhusu Erick anayajua yeye kwa sababu wakati anafanya hakukushirikisha.
Nchi hii ni huru na...
Issue ya Cv sio kigezo sana cha kumpata kocha bora! Makocha wenye vipaji wapo km walivyo wachezaji tu. Arteta anajua hali iliyopo arsenal kwa sasa, kwa hiyo anaingia pale akiwa anajua kabisa nini anatakiwa akifanye.
Kwanza asicheke na board kuhusu usajili km vipi ahakikishe wanamsapoti vilivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.