Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,594
Wahenga walisema "hakuna marefu yasiyo na ncha" hatimaye mfalme amekua mtumwa mwenye hofu na wasiwasi. Toka asubuhi nimekua nawaza ngome/gereza lipi litamfaa huyu bwana Paul Bashite jibu ni gereza la Maweni Tanga akienda Ukonga pia sawa atakutana na kina Nsembo na wahanga wake wengi watalipa kisasi. Ni hayo tu wana jukwaa "malaika wataishi kama mashetani tumekwisha" N:B Sabaya msalimie Mwakihaba na Tundu masterz!