Recent content by Ngwango

  1. Ngwango

    Magufuli, Makonda na Sabaya; ilikuwaje tukapata viongozi wa aina hii?

    Mkuu, Swali lako ni rahisi. Kiongozi anapotafutwa hakuna machine inayompima undani wake na malengo yake. Isitoshe Binadamu iwe kwenye uongozi biashara au shughuli yoyote inayohitaji ushirikiano mtu hupendekeza watu wake ' The Pro' umeambiwa katika Maelezo wazi na Dhahiri....Birds of the same...
  2. Ngwango

    Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

    Huko umeenda mbali, tuzungumzie tabia na desturi zawanafamu. MTU mwenye heshima zako na akili timamu kwa nini u misbehave au utukane?
  3. Ngwango

    Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

    Hii ni sehemu ya maoni, kuelimishana na Hoja mbali mbali. Kwenda shule ni kutafuta ustaarabu, to co-op with the environment, how do you co-op with the environment kwa kumwambia mtu Kima? Sote tunajua matusi, maneno ya kejeli ni marufuku katika mtandao. To violate the rules of the media do we...
  4. Ngwango

    Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

    Mkuu, Umeelezaaa...vile kichwa chako na akili zako zilivyokutuma. It is in principle you cannot accuse a dead person because he isn't there to defend himself. Jambo hili au malalamiko yako yalitakiwa yalengwe kwake moja kwa moja kama angelikuwa hai lakini hata angelikuwepo usingelithubutu...
  5. Ngwango

    Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

    Mama, Tuijue lugha vizuri wewe unamwita Mtu rubbish wakati yeye alisema statement ya kumwita crap ndio rubbish!
  6. Ngwango

    Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

    Retired, Sijui retired Wa mini, Mimi pia ni retired sasa twende mawazo ya ki retired. Kikwete usimlaumu na hakuchonga kinyago Bali alikuwa at logger heads na Edward Lowassa na hii unajua na Lowassa CCM ilipomnyima nafasi yakuingia ikulu kwa shinikizo la kikwete akahamia upande Wa pili na bado...
  7. Ngwango

    Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

    Red Giant, Wewe umezungumzia kupitia shule. Mimi nazungumzia kwenda shule, you should differentiate the species and categories of living organisms particularly animals and birds. In short let me not make it a class get to know that, reptiles like Komodo, Crocodiles, Alligators carry toxic biles...
  8. Ngwango

    Ukienda NSSF kupata huduma lazima umkumbuke Hayati Magufuli

    Ntovye, Ni kweli usemavyo lakini kwa kuwa mama anahidi kufuata nyayo hebu tisubiri tuone wanaojisahau na kuleta ukiritimba wao watanyooka tu. Time is the best judge.
  9. Ngwango

    Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

    Red Giant, Wewe ambaye hukudanganywa tupe review yako kwamba nyongo ya mamba sio sumu kama sio unafuata uvumi tu Wa wasomi wapumbavu. Mimi nimeona mtu amekuwa poisoned na nyongo ya mamba tena kwa kusuuziwa tu kwenye glass na akawekewa Beer inakata utumbo kama amemeza viwembe na maiti inakuwa...
  10. Ngwango

    Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

    Foodmzuri, Hakuna sumu inamuua paka Bali ni, moja tuisitoshe paka amepewa uwezo mkubwa kutambua chakula kilicho na sumu akihisi itamdhuru anaacha. Nyongo ya mamba inaweza isimuue sababu paka pia ana nyongo Kali kwa sababu ya vitu anavyokula, mungu ana maajabu ndio sababu tunasema muache aitwe...
  11. Ngwango

    Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

    Boss, Hiyo sio muha aliyesema anaropoka tu, watu wengine hurukia maneno kama nyani arukiavyo miti
  12. Ngwango

    Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

    Mr Econometricians, Thank you so much for tracing the real trench to know Leonard Chamuriho not like other people who gossip. Nilisoma Chamurio 2 mkubwa akiitwa Tanu na huyu Leonard wakiwa wadogo shule ya Msingi Mirongo mwaka 1966 nikiwa Darasa VIII wao wakiwa darasa either 2 au la 3 something...
  13. Ngwango

    Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

    Kwenye miti hakuna wajenzi, una 20 ml unauliza watu ufanye biashara gani? Nitumie lugha ya hayati magufuli kwamba mambo mengine ya Ajabu kabisa!
  14. Ngwango

    Idadi ya Watoto wanaoacha Shule za Msingi yaongezeka zaidi ya mara 2

    Hapa kimezungumziwa elimu. Kama ni hiyo ndude yako Ina shida peleka panapohusika.
  15. Ngwango

    Wawili wadakwa Uwanja wa Ndege wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya kilo 13.4

    Kikwajuni, Na wewe soma vizuri tusibishane kitu kilicho wazi. Nakubali watuhumiwa wamekaywa airport Dar wakitoka harare, Reporter anasema, kilo 13 walizokuwa wakisafirisha KATIKA jiji la Bombay nchini India. Katika ni Within boss wangu alitakiwa ase ...Kwenda...Bombay... Makosa kama haya...
Back
Top Bottom