The Honest One
Member
- May 11, 2021
- 53
- 70
Sema nyie masikini wa akili na mali,usingizie na watu wenye akili zao.Rubbish. Sisi wananchi tunataka viongozi kama hao kina magu hata wawe 10mil hivi.
Sema nyie masikini wa akili na mali,usingizie na watu wenye akili zao.Rubbish. Sisi wananchi tunataka viongozi kama hao kina magu hata wawe 10mil hivi.
Katiba mpya sifa mama na ya msingi kabisa kugombea urais wa jamhuri :Mgombea asiwe msukuma.Kanda ya ziwa sio wa kupewa nchi, mawaambieni, aiseee jamaa ni washenzi sanaaa
Hakuna msukuma mwenye tabia za kimagufuli. He was not a sukumaWasukuma hawafai kupewa madaraka makubwa ktk nchi,
Ngoja tuone...
Come downYes you are rubbish
Daah .....Hao wazee wenye hekima wamelifanyia nini taifa letu? Magufuli aliwafanyaje mpaka mkaishi kama tumbili? Bila kuweka mifano itaonekana una chuki binafsi tu. Sema ni nini magufuli alifanya kimeharibu taifa hili.
Kujenga reli, kujenga bwawa la umeme, elimu bure, vituo vya afya, hospitali mpya, miundombinu nk ndani ya miaka mitano.
Kama makosa kila binadamu anayo, muacheni mzee apumzike..
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
HahaHakuna msukuma mwenye tabia za kimagufuli. He was not a sukuma
Da ndugu unaonekana una roho ya kibaguzi kweli.WASUKUMA
Da ndugu unaonekana una roho ya kibaguzi kweli.
Watu wa hivi asilimia kubwa ni wanafiki pia.
Inawezekana wewe ulikuwa muuza unga
Endeleeni na huu upumbavu wa kutajataja makabila. Mtakuja kuchinjana huko mbeleni shauri yenu.Katiba mpya sifa mama na ya msingi kabisa kugombea urais wa jamhuri :Mgombea asiwe msukuma.
Nitajie watu watatu waliouwa na serikali, nitajie wawili waliopotezwa. Ukiwataja hao utaheshimika daima.. ukishindwa utaonekana mjinga kama wajinga wengineDaah .....
Kujenga reli kuna thamani mbele ya mamia ya Raia waliopotezwa, kuuawa na kubambikiwa kesi
Wangapi tupe orodhaDaah .....
Kujenga reli kuna thamani mbele ya mamia ya Raia waliopotezwa, kuuawa na kubambikiwa kesi
Huko umeenda mbali, tuzungumzie tabia na desturi zawanafamu.Waendelee kutukana matusi lakini wakumbuke Kaskazini haitokuja kutoa Rais wa nchi hii labda awe mpare au mmaasai, vinginevyo never ever
DuhSawa tutalifanyia kazi, na hili ls Simba kuchapwa 4-0 mnaliangalije?
Kabisa tena kwa karibu sanaChondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.
Huyu Pm tumuogope sana sana ana chembechembe za Hayati.