Recent content by Ng'wanang'walu

  1. N

    Afya za wana Appolo zinaendeleaje ?

    Habari wana JF, ni matumaini yangu makubwa muwenye afya njema , poleni kwa wale afya si njema sana Mungu awabariki napate kurudia afya zenu ilituweze kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo la nchi yetu. siku chache zilizo pita tukio la kuugua huyunaibu wazili wa ujenzi na kupelekwa huko India...
  2. N

    Rwanda, mazingira ya kazi mazuri, mshahara mzuri na.........? Karibuni wana JF!

    mkuu tupe hizo gape mwangu tz hamna mshahara mzuri tunasota ile mbaya. ebu ni pm tuwasiliane au turushie hiyo email yako.
  3. N

    Natafuta Mwenzi wa Maisha

    Eebwana umejuaje nami natafta mtu,mke wa kushea naye katika haya maisha mafupi, ila niko rock city nimwajiriwa wa serikali na malizia research yangu ya masters,35 yrs.mrefu,maji ya kunde na pombe mara moja kwa mwaka.
  4. N

    Sitta na Kapuya wako wapi Igunga?

    Napata shida kidogo kuelewa kama chama cha mapinduzi katika kampeni zake hazikuwatumia hawa wabunge wawili kwenye kampeni zake na baadala yake wametumika kina Kina Magufuli na wengine, hao jamaa wamefikia katika level kubwa ya vyeo vya hali ya juu katika serikali ya Tanzania nilitegemea...
  5. N

    Sitta awasha moto mpya DOWANS

    Sipati picha haya maandalizi ya Uraisi hapo 2015 kazi ipo kila mtu anajarib kuonyesha njinsi gani anaweza kuogerea ndani ya kina kirefu cha maji. six kaza mwendo.
  6. N

    Igunga: Sikubali matokeo

    Tanzania ni nchi ya watu wapole na wataratibu sana, wenye sifa za ubinafisi, na unafiki kikubwa ni msingi na malezi tuliopewa toka mwanzo, tukajengewa sura ya utii na uoga na waasisi wa nchi hii.kundi jingine limekuja na sura ya kutokuwa na aibu wala soni mbele za watu halina uzalendo hata...
Back
Top Bottom