Recent content by Ng'wanangwa

  1. Ng'wanangwa

    TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

    Rest in peace William. I am very sad, you know?
  2. Ng'wanangwa

    GE2020 Huenda Askofu Gwajima akawa ni msaada mkubwa kwa nchi yetu

    kanisa limemshinda mpaka anakula kondoo
  3. Ng'wanangwa

    GE2020 Ndugu Tundu Antipas Lissu, mgombea bora wa urais kuwahi kutokea Tanzania

    Mzee Mkapa, RIP, pia alikuwa mahiri. anashika nafasi ya pili baada ya Lissu. nadhani ndiye mgombea pekee wa Urais kupitia CCM aliekubali kufanya mdahalo na wagombea wenzake wa vyama vya upinzani 1995.
  4. Ng'wanangwa

    GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    wasije kumuwekea sumu kwenye MIC Rais wetu Tundu Lissu.
  5. Ng'wanangwa

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    anaumia mipesa yote waliyotumia kuwalipa the so called waunga-juhudi halafu CHADEMA bado tunakinukisha kama zamani. lazima watoe povu.
  6. Ng'wanangwa

    GE2020 Naona kama chama changu kimekata tamaa Dar es salaam

    segerea ipi? hayo mabango ya maccm sisi tunaona uchafu tu.
  7. Ng'wanangwa

    Tafadhali Magufuli: Ambao Hukuwatuma, Wakikatwa Usiwabebe!

    upuuzi mwingine. jiheshimu mzee usiwe na tabia kama za gwajima. mzee ashasema hakutuma mtu hao unaosema 'ambao hukuwatuma' ulisikia wapi?
  8. Ng'wanangwa

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    mikoa ya kusini ni wa kuwaacha hivyohivyo bila elimu bila barabara bila hospitali bila chochote. hayo ni maisha waliyochagua ukienda ukaanza kuwahubiria elimu au kuwaepusha na kangomba wa korosho wanakuchukia na kukuletea moshi kama hivyo kwa lengo la kukudhuru.
  9. Ng'wanangwa

    Pole sana Kipilimba, ilinipasa kunyamaza

    Baba Askofu anaendelea je?
Back
Top Bottom