Wadau naomba ushauri,
Poleni na shughuli na naomba ushauri wa namna ya biashara ya mpesa tigo pesa na airtel money... Selcom zinavofanya kazi na kianzio shilling ngapi?
Nakushukuru sana Kwa kunipa ushauri wako na maarifa.
Naomba kuwasilisha..
WALIOTUFIKISHA HAPA WAKO CCM NA CHADEMA |¦| Tumuunge Mkono Magufuli Ili Watoto Wetu Wasije Kutucheka Kama Sisi Tunavyomcheka Mangungo
Anayedhani serikali ya CCM chini ya Mh Magufuli haina uhalali 'legitimacy' wa kuongoza mapambano ya uhuru wa kiuchumi anakuwa hajui kwanini wananchi walimuamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.