Acha uongo ambao hauna faida. Hyo msanga au ndebwe zipo dom mjini? Mazingira ya shule, vyoo na nyumba za walimu yanafanana karibu maeneo yote ya vijijini hapa tz.
Me hapo ndipo nnapochoka zaidi. Kama hotel hyo ni binafsi, inakuwaje serikali ya ccm itoe maelekezo ya kufukuza watumishi? Inatakiwa kwanza tupate somo la uelewa wa mambo kabla ya kupost au kutoa mchango ktk majukwaa kama haya.
Kwanza ujue me sio muumini wa hoja za matusi. Hyo link uliyotuma inatosha sana wewe kuelewa nini tunachopingana coz inamengi ya msaada kwako. Wakati viwanja vingi vinajengwa vilijengwa na wana ccm wenyewe wa wakati huo. Sasa hapo cjui unabisha nini wakati thread hyo unayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.