DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Simple logic...Kwanini uchukue kiwanja kibubwa wakati huwezi kukijaza??
Naona unajitoa ufahamu.
Mtafutieni kwanza Magufuli mke ndio mje humu kujiliwaza baada ya Ukawa kuwahenyesha.
Simple logic...Kwanini uchukue kiwanja kibubwa wakati huwezi kukijaza??
viwanja vyote ni mali ya CCM hivyo huwa hawataki kuaibishwa uwanja wa nyumbani.
Mali waliojipatia kwa njia ya kupora.
Wanajamvi naomba kufahamishwa inakuaje viwanja kama Samora,Majimaji,Jamuhuri havitumiwi na UKAWA badala yake kampeni inafanywa kwenye viwanja vidogo?
Walimpora nani? Mawazo mgando hayo.
Kwahyo kwa mawazo yako ambayo hayajaganda ulidhani ccm imejenga hvo viwanja?
Ccm kirumba wamejenga wao,sheikh amri abeid wamejenga wao?umoja mtwara wamejenga wao?kwa taarifa yako hvo viwanja ni vya serikali,ukawa ikiinghia madarakani vinarudi kwenye halmashauri.
Kwahyo kwa mawazo yako ambayo hayajaganda ulidhani ccm imejenga hvo viwanja?
Ccm kirumba wamejenga wao,sheikh amri abeid wamejenga wao?umoja mtwara wamejenga wao?kwa taarifa yako hvo viwanja ni vya serikali,ukawa ikiinghia madarakani vinarudi kwenye halmashauri.
Unajua history ya hvyo viwanja au unaropoka tu? Kirumba, amri abed na umoja serikali ilijenga lini?
Wanajamvi naomba kufahamishwa inakuaje viwanja kama Samora,Majimaji,Jamuhuri havitumiwi na UKAWA badala yake kampeni inafanywa kwenye viwanja vidogo?
Kakojoe ulale kumbe naongea na mtoto.
Basi soma hapo ujiridhishe ujinga wako
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=375673