Ww mwnyewe biblia huijui, eti nabii Mus a alimkosoa Mungu, wapi pameandikwa ivo
Km rais kakosa hekima na busara asiambiwe? Padri yuko sahihi tena km kiongoz wa dini lazima akemee viongoz wa nchi wanaotuongoza km ng'ombe, ss ni binadamu tena huenda tumemzidi hata ufahamu wake, anatakiwa...
Nimesoma hapo tu "makosa 10 aliyofanya Mungu, nilichunguza kwa makini hlo neno mungi alivoliandika limeanza na herufi kubwa yaani (Mungu)nikagundua anamzungumzia Mungu alieziumba mbingi na nchi.
Kwa taarifa tu ndg umetenda dhambi kubwa mno, bila shaka yyte ww unauhusiano mkubwa sana na...
Kinachoonekana serikali hii ya awamu ya 5 haipendi kukosolewa, wanapenda kusifiwa tu na kupigiwa makofi hata wakifanya mambo ya kipuuzi
Mbona mzee wa msoga alionyesha ukomavu wa kisiasa?amepigwa madongo lkn aliendelea tu na mambo yake, tena ukimkuta kwnye mikutano na makongamano mbalmbal...
Pasco,uliyoeleza ni mambo ya msingi sana,lkn kwa mujibu wa katiba yetu tuliyonayo mi naona Rais yuko juu ya sheria
Kwnza cjui km tuna mahakama ya katiba!!!!,kwa udhaifu wa katiba Magufuli anaweza kusema lolote na ucwe na mahali pa kumhoji zaidi ya mtandaoni km hapa,tena ukifanyamchezo...
Jmn hata kumbukumbu ya bajeti za serikali yetu kwa miaka mingi ss hatuikumbuki???hii ni ajabu kuona eti kuna mtanzania anawezaa puuza walichokifanya MCC
Asilimia kubwa ya bajeti ya serikali inategemea misaada kutoka kwa wahisani!!!leo MCC wamejitoa kutokana na kukanyagwa kwa demokrasia...
R I P Mawazo,uwanja ulibubujikwa na majonzi baada ya mw,kiti wa chadema Arusha kutoa taarifa za kifo cha Mawazo tulipokua kwnye mkutano wa kampen jimbo la Arusha mjini,wtu wte walidondosha chozi kwa ajili ya mawazo,lkn machozi haya hayatamwagika bure,yatarudi na majibu chanya.
Mi naona watu wanatokwa povu tu kuhusu Arusha,nawaambia kikwete c kamaliza mda wa urais? Mleteni A.city,au ok tafuten yyte mnaemwamin kuliko wte pale ccm aje agombee hapa A town cc tutaweka mbuzi,akishinda,kiama imefika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.