Recent content by Ngusho

  1. N

    Deluxe Pub Iringa Mjirekebishe

    Mmiliki wa hii Pub hapa Iringa ana kazi kubwa ya kufanya. Niko hapa saa hii, huduma ni Mbovu ajabu, wahudumu wana lugha za ajabu na dharau hadi unashangaa. Kama ilivyo kwa Liquor store nyingi, wameweka muziki wa Bluetooth, ila wanashindwa ku-control. Yaani mteja kwa sababu kaja pub mapema...
  2. N

    Kuweni makini muendapo Acapulco bar iliyopo Mbweni

    Binafsi siendi tena pale....na kwa kuzingatia janga hili la CORONA Sina ratiba tena ya kwenda Bar yoyote kwa week chache zijazo......Nadhani leo nilienda pale ili tu nipate kuwaletea Wadau Habari hii njema kuhusu ACAPULCO BAY Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Kuweni makini muendapo Acapulco bar iliyopo Mbweni

    ACAPULCO Bay iko Mbweni Mkuu......Mwisho wa Siku usalama feki simu yake iliyoibwa imepigwa inalilia mfukoni mwa “usalama” mwenzake. Yaani ni uhuni kwa kwenda mbele. Ukiwa mitaa hiyo kua makini kiongozi! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    Kuweni makini muendapo Acapulco bar iliyopo Mbweni

    Wateja wake wengi wahuni na wote wanajiita Usalama wa Taifa! Leo nimeshuhudia mteja wa siku zote (regular) anasumbuliwa na wahuni wanasema eti amewaibia iPhone. Cha ajabu, meneja na baunsa wake wote wako upande wa Muhuni wakiamini ni Usalama wa Taifa. Plz ikitokea umenywea bia zako pale, just...
  5. N

    Vitalis Maembe: Makonda shika adabu yako, Chuo cha Sanaa Bagamoyo si sawa na wasafi wa nguo

    TAMASHA LA CHUO CHA SANAA BAGAMOYO 2018 LITAFANYIKA TAREHE 20 - 27 OCTOBER 2018. KARIBUNI WOTE MPATE KUJIFUNZA MENGI YANAYOFANYWA NA CHUO HIKI PENDWA.
  6. N

    Wako wapi Kafulila na Katambi?

    Kazi Yao iliishia kwenye mkutano Mkuu wa CCM.....walishatumika, hawawezi kutumika tena. Poor them
  7. N

    Maajabu: Kichwa cha treni kilichookotwa bandarini ndio kimepata ajali Kigoma. Hivi kumbe walishanunua kimya kimya?

    Yaani unaenda bandarini unakuta vichwa vya treni, unatuaminisha havina mwenyewe halafu week moja baadae unatwambia unavinunua....yaani akili za CCM mnazijua wenyewe
  8. N

    Maajabu: Kichwa cha treni kilichookotwa bandarini ndio kimepata ajali Kigoma. Hivi kumbe walishanunua kimya kimya?

    Ndio maana unashadadia, kumbe huoni tatizo liko wapi.....ndio Haya ya ununuzi wa ndege, Ujenzi wa uwanja wa ndege Chato etc. ukiuliza tender ilitangazwa na kushindanishwa lini unaitwa mchochezi. Halafu mburula wewe huoni shida iko wapi, Duh!
  9. N

    Maajabu: Kichwa cha treni kilichookotwa bandarini ndio kimepata ajali Kigoma. Hivi kumbe walishanunua kimya kimya?

    Kwa hiyo vichwa vya treni kununuliwa na serikali bila kufuata utaratibu wa manunuzi kwako ni sawa......Tumia akili kidogo uliyonayo kwa uangalifu ikusaidie
  10. N

    Leo 5/11/2017 naacha pombe rasmi

    Mkuu uamuzi wako ni mzuri sana. Kama uko DSM fanya tukutane mchana huu tuzigonge bia za kutosha kukuaga rashi chamani.......mimi sina sababu ya kuacha, pombe haijawahi kuniangusha!
  11. N

    DAR: RC Makonda awataja Askari 9 watuhumiwa kushirikiana na mtandao wa Dawa za Kulevya. Wamo wasanii

    Naona mkuu Makonda anajaribu kwa nguvu zote kutuhamisha toka kwenye HOJA NZITO ambayo ndio habari ya mujini.....shule 6 kati ya 10 za mwisho ktk matokeo ya kidato cha nne kitaifa zimetokea Dar es Salaam. Hili ndio linahitaji immediate solution, aache kutuletea habari dawa za kulevya muda huu.
  12. N

    Yaliyojiri kwenye ukaguzi wa Polisi katika Ofisi za JamiiForums na Nyumbani kwa Mkurugenzi, Maxence

    Na watu kama wewe ndio mnasababisha tuingie matatani.......Yaani umeamua kabisa kujiita MKWEPA KODI duh, :) joking
  13. N

    Madereva wa Music wa Darasa Wanatofautigani na wale wanaoendesha pikipiki kwa tairi moja

    Ushauri wangu; either wawasamehe tu au wamuunganishe na Darasa kwenye kesi hii....haka kawimbo kanasisimua jamani. Hebu kasikilize kidogo hapo chini
  14. N

    It sure looks like Melania Trump copied her speech from Michelle Obama

    Kiongozi Melania asili yake ni Yugoslavia, uraia wa US kapata 2006. Kwa hiyo "kizungu" chake nae cha kuunga tu
Back
Top Bottom