[
Lakini Mwakyembe katika ile taarifa alisema wazi kwamba "tumeamua kuishia hapo kwa heshima ya serikali". Unaweza kutambua na kubaini alichokisema Jana Lowasa Kwamba mamlaka ya juu ilimuamuru kukubaliana na mkataba na hiyo mamalaka ndiyo ambayo haikusemwa na tume kwa heshima ya serikali...
Hebu Watanzania tujaribu kuwa watu wa kufikiri juu ya haya yanayotokea nchini bila kuyajibu kwa ushabiki. Nimesoma comments nyingi za humu nikiamini kwenye kundi hili kuna watanzania wenye uwezo wa kutafakari kabla ya kurusha hizi comments.
Hatuwezi kutumia mda wetu mwingi kujadiri report ya...
That's a great idea,we still have more economically strong neghbours to corporate with for our remarkable economic growth rather than a micro country like Rwanda. I suggest we don't waste our time thinking about that insteady strengthen our political and economic plans with countries which will...
MMh mimi ninavyo kutazama katika ulichokiandika nikwamba wewe rasimu yenyewe hujaielewa na possibly wewe ni slow learner....Anyway hii rasimu inaelezea wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano na sio Tanganyika wala Zanzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.