HAPA PIGA DEBE TU MAANA UMEAHIDIWA ILA KUHUSU performance Za WASIRA HAZIPO TU MAANA UKISEMA POOR LABDA ZILIKUWEPO HUYU JAMAA HANA KABISA ALICHOKIFANYA LABDA KUBA.......
Sio kwa uwezo wake yeye alishachemka na alishaanza kutoa kauri za kuchochea mfano: WAISLAM NDIO WENYE HAKI YA KUCHINJA.
bila kuangalia MOTO ukoje hadi MAASKOFU NA MAPANDRE na VIONGOZI WENGINE WA DINI WALIPOANZA KUMLAUMU WASILA NA KUAHIDI ATASHITAKIWA.
Ndipo Baadhi ya Mashekhe nao wakadakia na...
Katumwa kumtangaza hahahhahah
Rais wa bunda au???
Aliambiwa akasovu mgogoro wa KUCHINJA MWANZA alichokifanya yeye bila kutumia busara na strategies za kutatua migogoro akaenda kuchochea (FUEL) mgogoro halafu sasa anataka Urais daaaaaaa!!!
FAST JET KAFANYA NAFASI YA URAIS IONEKANE RAHISI SANA...
Mtoa maada nimeipenda kwakweli maana nimefuatilia tangu juzi jamaa wanaeneza chuki miongoni mwa wananchi wa Tanzania kwa sababu hawapambanui vizuri habari zao wanabase upande mmoja.
Maana wanaposema "MUEENDELEZO WA MATUKIO"
walitakiwa waweke sawa kauri zao matukio gani na ya mwanzo yalikuaje...
Huo ni mtego kwa KIKWETE coz hawezi kutekeleza anachokisema ili baadae akosolewe ipasavyo
Pia CCM wanataka wapitishe katiba inayojali maslah ya chama chao hivyo basi KIKWETE anapoigiza kusema maneno ya busara wakati hatekelezi lazima aungwe mkono ili baadae maneno yake mwenyewe yamuhukumu...
HUU NI UNAFKI TUNASUBIRI KIUMBE YEYOTE ATAKAE TANGAZA NIA YA KUGOMBEA NAFASI YEYOTE ILE TAARIFA ITAFIKA KILA KONA YA TANZANIA NA DUNIANI KOTE
MUULIZE DIAMOND KAFANYWAJE NI JUZI TU
inarillah waillaillaih Rajiuni
CCM ni MSIBA na ni gundu hatutaki hakika hatuitaki CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.