kwa jinsi ulivyo uliza hayo maswali inaonyesha wazi kabisa unafaa kuendelea kubaki huko huko ulipo maana hata ukienda chadema ipo siku utawauliza maswali kama hayo kwa wengine, hufai kuigwa na jamii
Kweli kabisa, chama kinachofukuza mwanachama anayefanya usaliti ndio chama bora. Kwa sababu hawaangalii wewe una umaarufu gani wala ulishawahi kutoa hoja ngapi bali watu wote ni chini ya katiba sasa huyo zito aende ccm akawe katibu mwenezi msaidizi wa nape huku hatutaki wasaliti, safi sana...
Ahsante saana baba askofu tuko upande wako katika kutetea kondoo wa bwana na tunakuamini kwa sababu umesema yaliyomema na yenye umuhimu katika dunia hii ya sasa, tunahakika kuwa wananchi wamekuelewa na tutafanya kama ulivosema maana hata sisi hatutaki kupotoshwa na katiba ya chenge na sitta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.