kwa hali ya kawaida upande wa jamhuri umeshindwa kujenga kesi,lazma tujue murder uangaliwa kwa means rea na haionekani ktk ushahidi wao. na mashahidi sio eye witnesses na inaonekana walienda kutoa ushahidi baada ya kusoma ktk vyombo vya habari tukio ilo. pia sauti iliyosikika ni ya Pistorious...
Hiyo ni civil case muhimu uwe na risiti uliopewa ulipolipa nauli,loss report na pf3 unao uwezo wa kufungua kesi ya madai mahakani.unamshtaki mmiliki sio dreva.na watu huwa hawajui tu mwananchi anao uwezo wa kwenda mahakamani akafungua mashtaki kwa hakimu. muhimu ni risiti
Kwa mtu mwenye akili lzma ujiulize kabla hujachangia, huyo kajitambulisha kuwa ye mwanajeshi nani kadhibitisha kama ni askari kweli? na pia askari wanaheshimiana tofauti na habari zenu hizi na magazeti,
wewe ni sawa na mtu anajisaidia pori lenye simba lkn anaangalia barabarani kuhakikisha hamna anayemona uku mgongo akiuacha porini. Baada ya kuhoji mambo ya mana unaongelea majengo? Eac ni nchi ngapi? Jengo la mikutano lipo wapi?
Tusiwe na mawazo mgando na wala tusikariri, mm nadhani anayepinga brigedia general kuwa mpambe wa rais angetupa protocal nzima ya wasaidizi wa viongozi wanakuwa na vyeo gani, hakuna utaratibu eti lzma mwisho awe kanali,nani kasema? na pia huyu ni mtumishi wa umma muda umefika kapandishwa...
Sijajua unachoongea,unasema alishtakiwa kwa murder then ikawa REDUCED to manslaghter" unachokiongea unakijua kweli? ilo neno ulotumia dhahiri inaonesha huna uelewa wowote wa sheria.
Ni uongo na uzushi,askari wetu wako salama salmini,ma brother yupo uko nimemtumia email kasema wala hamna jambo kama ilo so be cool, wanajeshi wetu wako timamu kabisa,
Hata darasa la 4 tulijifunza what is democracy na msingi mmojawapo wa democracy ktk chaguzi ni kura ya siri, usilishwe mambo kaa tafakari na jiulize ni lini tulipiga kura ya wazi? na je rasmu ikirudi kwa wananchi kuipigia kura watapiga kura ya wazi yaani ile ya NDIYOOOO? Jiongeze
elimu yake ni kidato cha sita na ana diploma, cjakuelewa msomi wewe, diploma si elimu? Tena ana diploma ya miaka hiyo ya sheria, unaweza mlinganisha na digrii zetu za sasa? Jiongeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.