Recent content by ngumbwili

  1. N

    Chinese Scholarship Application procedure

    izo nafas bado zipo wakuu? je kuna course za afya? kuna garama gan za kujiandaa nazo,, pia baada ya kujaza na kuscan na kuprint tunasubmit wapi? tafadhali nieleweshe kama mtu nisie faham,, ukiguswa kunipa maelezo zaid nipatie namba yako,, stay blessed u all
  2. N

    HESLB yatoa Tsh 459/-bilioni kwa wanafunzi wa elimu ya juu

    sawa mkuu! shukrani sana kwa faraja yako,,
  3. N

    HESLB yatoa Tsh 459/-bilioni kwa wanafunzi wa elimu ya juu

    dah! wengne walisema baada ya cku60 wengne90 ukiulza zaid wanaxema kama utak airisha mwaka wakanipa na planepaper niandke barua,ukiulza mlianzia lin kuesabu dah acha tu ndg yangu maisha ya chuo kama ndo iv,,,
  4. N

    HESLB yatoa Tsh 459/-bilioni kwa wanafunzi wa elimu ya juu

    tuliofanya transfer ndo awatuthamin kabisa,, naenda maranyng pale heslb kila mmoja ananijibu tofaut na kwa kukatsha tamaa nataman nirud tu nyumban,,,c rahs kujua naishje lakn kama ww ni mwamin niombee sana,,
  5. N

    Tumekosa Mikopo, wahusika wako kimya!

    pole sana mkuu,,vumilia tu,,hi ndo kusema alienacho anaongezewa na asiyenacho ata anachozan anacho anapolwa,,hi ndo Tanzania,,mm nipo mwaka wa kwanza lakn sisem uongo najutaaa,,kwan cjawai kuish maisha magum namna hii,ni stor ndef ila pole ndg yang
  6. N

    transfer...

    exactly mkuu kwa namna hii mtoto wa kike awez vumilia ata kdg
  7. N

    transfer...

    daah! skuwahi kuzan kama ntakuja kuishi maisha magum kama nnayoishi saiz chuo nataka j3 niombe utawala nirud tu nyumban nisije kufa bure
  8. N

    Loan Board 2015/2016 appeals iko open now

    et 1st year wana appeal nao.
  9. N

    Loan Board 2015/2016 appeals iko open now

    apana mkuu usiseme hivo ujui sababu anafanya vile coz ujafikwa,, mpe moyo nais ndo la muhm zaid
  10. N

    Wanafunzi vyuo vikuu kutumbua jipu bodi ya mikopo

    ndy mkuu,, acha tanzania tuioneshe upande wa pili wa shiling "LETS ALL OF US BELIEVE THAT WE CAN DO IT"
  11. N

    Wanafunzi vyuo vikuu kutumbua jipu bodi ya mikopo

    tuhamasishane ata kwa njia za vpeperush wakshafika muafaka wakuu(maloanoffcer) jipu gan lenyew lishndkane
  12. N

    Wanafunzi vyuo vikuu kutumbua jipu bodi ya mikopo

    dah!,,, ni hatua nzuri inayokusudiwa,,, uyo jamaa namkubali sana tulikuwa nae pale loan board last wk, aliwaeleza vzur sana waandish wa habar,, tukatoka nae kuelekea wizaran,, naomben tuungane kwa pamoja,, roho inauma kuona mwana chuo nashndia miogo ya mia3 asubh,mia3 mchana na jion yan bila...
  13. N

    Ushauri wenu muhimu wakuu!

    Amani iwe nanyi, Ni mwanachuo wa mwaka wa kwanza, mhanga wa mkopo kutokana na transfer, tunaambiwa mpaka siku 60, wakati huu ni mgumu sana kwangu. Nimewaza mengi sana ikiwemo kurudi tu kijijin kwetu kuendelea na maisha ya kawaida, kwani naishi maisha ambayo sikudhani kama ningekuja ishi...
  14. N

    Kero: HESLB kuweni makini katika loan transfers

    daah! nilijua mm tu wakuu, yan inakera, wakati mwingne niliona elimu haina maana, nahaso knyama
Back
Top Bottom