avi.JNR
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 139
- 87
Hivi kuna haja gani ya kuwapa Mikopo wanafunzi wa VYUO VIKUU? SI kujikimu au? Sasa mwanafunzi wa chuo kikuu kafanya
Transfer au Declined na chuo husika ukiwa tayari kashapata mkopo kwenye chuo alichochaguliwa mwanzo? Hapo ugumu uko wapi kutransfer loan yake?
Unamwambia mwanafunzi nasubiri siku 60. JE, UNAJUA kuwa hiyo ni miezi miwili?
JE ushajiuliza kuwa SEMISTER INA MIEZI MINNE, sasa hiyo miezi miwili ale nini? Akae wapi Ikiwa walio wengi wanatoka MIKOANI?
Swali langu kwa HELSB ni data gani zinahamishwa muda wa miezi miwili ili wanafunzi wapate hizo pesa? Au ndo mnazungushia biashara zenu baada ya Miezi miwili ikiisha mnawapa?
Swali lingine hao wanafunzi mnataka wasome vipi bila hizo loan walizoomba na mkawapatia? Na Ikiwa wanafunzi wanaofanya Transfer hawazidi 900 TU?
KUWENI NA HURUMA KIDOGO .SISI WENGNE TUNASOMA KWA FULL ACCOMODATION LAKINI WENZETU WANAPATA SHIDA
Transfer au Declined na chuo husika ukiwa tayari kashapata mkopo kwenye chuo alichochaguliwa mwanzo? Hapo ugumu uko wapi kutransfer loan yake?
Unamwambia mwanafunzi nasubiri siku 60. JE, UNAJUA kuwa hiyo ni miezi miwili?
JE ushajiuliza kuwa SEMISTER INA MIEZI MINNE, sasa hiyo miezi miwili ale nini? Akae wapi Ikiwa walio wengi wanatoka MIKOANI?
Swali langu kwa HELSB ni data gani zinahamishwa muda wa miezi miwili ili wanafunzi wapate hizo pesa? Au ndo mnazungushia biashara zenu baada ya Miezi miwili ikiisha mnawapa?
Swali lingine hao wanafunzi mnataka wasome vipi bila hizo loan walizoomba na mkawapatia? Na Ikiwa wanafunzi wanaofanya Transfer hawazidi 900 TU?
KUWENI NA HURUMA KIDOGO .SISI WENGNE TUNASOMA KWA FULL ACCOMODATION LAKINI WENZETU WANAPATA SHIDA