Recent content by ngulla

  1. N

    Sherehe za kumuaga Samweli Sitta zavurugika Dodoma

    This is nice....!
  2. N

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    kwa mwangosi walisema bomu lilirushwa kutoka kwa wafuasi wa chadema, lakini mungu mkubwa ukweli ukajulikana...! Leo wanasema ni mpango wa chadema, ukubwa wa mungu haujapunguwa kwa watu wake, anatupenda sana, ukweli utapatikana na utawaumbua wote wanao jaribu kuupindisha.
  3. N

    Spika hata kulizungumzia bungeni!

    Heheheheheeh...! Nice
  4. N

    Uhaini wa Mtwara ulipangwa

    Unajua maana ya uhaini?
  5. N

    Kiongozi gani ndani ya CCM unaweza kumlinganisha na Nyerere?

    Hehehehehehehe......! Nimeipenda hii.
  6. N

    Jimbo la Magu, Mwanza

    Mimi pia natokea Magu, nimeishi na kukulia magu nayajua mateso na mahangaiko ya watu wa magu. Matatizo ambayo yapo ndani ya uwezo wa mwakilishi wetu. kitu kikubwa watu wa magu tujitahidi kuwaelimisha wenye mawazo mgando, watu waliozoea kula nyama siku limbu akishinda, kupewa khanga, chumvi...
  7. N

    Jimbo la Magu, Mwanza

    Mimi pia natokea Magu, nimeishi na kukulia magu nayajua mateso na mahangaiko ya watu wa magu. Matatizo ambayo yapo ndani ya uwezo wa mwakilishi wetu. kitu kikubwa watu wa magu tujitahidi kuwaelimisha wenye mawazo mgando, watu waliozoea kula nyama siku limbu akishinda, kupewa khanga, chumvi na...
  8. N

    M4Change to M4Death....R.I.P watani; Nape

    kwa wanaokumbuka historia ya taifa letu, watanzania waliweka matumaini yao kwa chama cha TANU na baadae CCM hasa wakati wa Mwalimu, walifanikiwa kujenga misingi ya inch yetu ambayo iliipatia Tanganyika na baadae Tanzania sifa kemukemu. LAKINI KWA SASA HALI NI TOFAUTI,MAMBO YANAKWENDA KOMBO...
  9. N

    Kikwete: Wapinzani ndio wanaochochea vita dhidi ya Malawi

    kama kweli kauli hiyo imetolewa na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, anakila sababu ya kutuomba radhi watanzania wote na kufuta kauli yake. kwani taifa zima litaonekana kama nitaifa la waongo,wazushi na wadhaifu wa kufikiri, kumbe ni mtu mmoja na kakikundi kake kadogo kauenezi.
  10. N

    Kikwete: Wapinzani ndio wanaochochea vita dhidi ya Malawi

    kama kweli kauli hii imetoka kwa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, basi anakila sababu ya kutuomba radhi watanzania wote kwa pamoja kwa kuongea uongo tena kupitia vyombo vya kimataifa. hii itatunyima nafasi kila kona kwani tutaonekana taifa zima la waongo,wazushi na wadhaifu,lakini kumbe...
  11. N

    Operesheni vua gamba...vaa gwanda...

    Nipo Iringa, i wish tuwe pamoja....! PLZ NA HUKU MFIKE TUKAWAVUE MAGAMBA WA ISIMANI KWA LUKUVI.
  12. N

    Kwaya ya CCM yahamia CHADEMA

    Ninaifahamu vizuri sana hiyo kwaya, ndio ilikuwa tegemeo la ccm wilaya ya magu katika kampeni zao. HUU NI USHINDI KWA WANA CDM WILAYA YA MAGU WANAO TAKA MABADIRIKO
  13. N

    Kwaya ya CCM yahamia CHADEMA

    Ninaifahamu vizuri sana hiyo kwaya, ndio ilikuwa tegemeo la ccm wilaya ya magu katika kampeni zao. HUU NI USHINDI KWA WANA CDM WILAYA YA MAGU WANAO TAKA MABADIRIKO.
Back
Top Bottom