Inawezekana mkuu, kumuweka asiyekuwa mtaalamu wa fani husika kuwa waziri. Kwa ujumla wake uwaziri ni nafasi ya kisiasa, hata mchakato wake wa kupata nafasi ya uwaziri ni wa kisiasa, lakini ndani ya wizara kuna Katibu mkuu ambaye aghalabu huwa mtaalamu wa fani husika na pia kuna ma kamishna ambao...
Keshajitenga nao kwa miaka 3 ni muda mrefu sana, ulifanya kosa kubwa sana kuwapiga wazazi wako tena wote wawili nadhani waliumia sana mioyoni mwao kuwa huu ujasiri wa mtoto kumpiga mzazi umeupata wapi.
Ukisoma kitabu cha mwanzo sura ya 9:20-28 imeandikwa Nuhu alilima zabibu akanywa divai...
Nyumba kubwa ya vyumba 4 vya kulala, sitting room, dining room, choo bafu jiko nk zinaweza kuhitaji kama 220 square meters, chamber za maji taka, choo/bafu ya nje nafasi itabaki ndogo sana kwa gari 2
Mkuu mfumo huo wa elimu hauna manufaa tena katika ulimwengu wa leo, kuna mabadiliko makubwa sana ya technolojia kiasi kwamba elimu ya kukariri mto mrefu zaidi Duniani ni upi imebaki kwetu sisi wahenga hivyo mweleweshe tuu polepole
Wamechunguza vitu vingi sana ,mauaji ya Dr Ouko Kenya walichunguza walipotoa taarifa ya awali kuwa aliyekuwa mkuu wa usalama Hezekia Oyugi ana la kujibu na Rais wa wakati Arap Moi ana la kujibu pakawa pagumu ikabidi waondoke
Bank kuu ya tanzania iliungua 1984 wakaitwa scotland yard
Endelea na mkeo huna sababu ya kuachana naye, hata ukienda kuoa mwingine huna uthibitisho wowote kuwa kila atakachokueleza ni ukweli na hakuna mengine aliyohifadhi moyoni.
Sisi wanaume pia huwa tunaficha mengi ili mradi yalitokea kabla ya ndoa
Iwapo unavuta sigara/shisha/Kiko na vyote vinavyofanana na hivyo acha mara moja
Pia usitumie vinywaji baridi yaani refrigerated kama maji, soda, beer, ice cream nk tumia vikiwa at room temperature
Kasome tena Katiba mkuu, takwa la kuwa na degree ni la vyama siyo la Kikatiba,
Katiba inataka ujue kusoma na kuandika Kiswahili ama Kingereza ama vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.