kwanza hao trc ni wababaishaiji sana aisee! wameongeza nauli kimya kimya ya train kwa safari za express za asubuh kutoka Dar saa 12:00 na kutoka Dodoma saa 11:15 asubuhi. kama latra ameshirikishwa basi na wao ni wahuni tu kwa sababu ilipaswa consumers watangaziwe. Nauli imepanda kutoka 40k to...
Msitoe mikataba kwa wastaafu kwa sababu vijanq wengi sana wapo nje ya ajira! Hivi kweli mtu mwenye 60 years + ataleta Nini jipya kwenye utumishi wa umma!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.