Mambo zaidi ya 10 anayopaswa kuepuka Mjamzito yoyote yule
Unapogundua kuwa una mimba, unapaswa kuwa mwangalifu na kuepuka mambo mengi ambayo yanaweza kusababisha mimba kutoka, au tu yakakukudhuru wewe na mtoto wako aliye tumboni.
Kwa kujua orodha ya mambo zaidi ya 10 ya kuepuka wakati wa...
Umeua ule mji ni wa kipekee kuna miti fulani imeteshwa mle karibu na chuo cha ualimu na maeneo mengine pia ipo madhari yake ni ya kuvutia sana, ukija mashamba ya chai pia yana madhari nzuri mno, wapiga picha, wacheza muvi na watafuta location wengine kuna kitu Tukuyu, watu wakule ni wakarimu...
Pitia na hii[emoji1541]
SIKUKUU YA CHRISTMAS (Sehemu ya 5)
TAREHE 25 DECEMBER
Tuanze na majira ya kipindi alichozaliwa YESU
Luka 2:8
[8]Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.
Kipindi pekee ambacho Wachungaji wanaweza kukaa...
TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL (TNMC)
Kwanza Hongereni sana kwa kazi nzuri mnayofanya ya kuwakumbusha wauguzi na wakunga wajibu wao, nadhani ni vizuri na nyie kama chombo kinachosimamia taaluma mkakumbushwa wajibu wenu
1. (a). Nyie mpo kwaajili ya kuhakikisha umma unapata huduma zilizo...
Bosii hii mimea Ina madhara gani kwa ardhi, pia kama Eka Moja inaweza kulisha mbuzi 60 kwa mwaka ni kwa namna gani? Maana nilivyoelewa ni kwamba inavunwa kwa mara moja au Kuna namna ya kuhifadhi majani yaliyovunwa kwa matumizi ya baadae?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.