Recent content by Ngufumu

  1. Ngufumu

    Njooni huku Boko Mnemela viwanja vya bure

    Vp huko kuna update yoyote
  2. Ngufumu

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Hivi milioni kumi inaweza kujenga nyumba ya aina gani hadi kuezeka na kuweka marisha na milango ya nje pamoja na kupiga jamvi tu?
  3. Ngufumu

    Itakuaje Tanzania na DR Congo zikiungana?

    Kwa jicho la uanamajumuhi wa Afrika hili ni jambo linawezekana kabisa na mimi naliombea litokee tuungane na kuwa na umoja kwelikweli ili kuwashinda mabeberu
  4. Ngufumu

    Wiki ya Unyonyeshaji 2024

    Sema uzazi zamani kidogo uliheshimika sana maeneo ya kule kwetu mama akijufungua ile tu amerudi home kama ni mtoto wa kike vinapigwa vigelegele(Midoro🤗) vinne kwa mtoto wa kiume ni Vitatu 3️⃣ lakini kubwa kuliko ni kwamba vyakula vinavyopikwa iyo nyumba ni vile vilivyoeenda shule 😋, kwanzia...
  5. Ngufumu

    Hizi hapa Kozi zaidi ya 40 zinazoweza kusomwa na Muuguzi mwenye Diploma

    Zijue Kozi 40+ za degree ambazo Muuguzi/Nurse wa Diploma anaweza kuzisoma Tanzania kwa mujibu wa Guidebook ya TCU 2024/2025 If your a Nurse Midwifery with an ordinary Diploma save this👇🏾 1. Bachelor of Science in Nursing - MUHAS, UDOM, St. John, Kcmc, KiU, Kairuki, Agakhan, ZU, miaka 2.5 - 4...
  6. Ngufumu

    Kozi 11 za afya za kusoma mwaka 2024/2025

    https://wa.me/p/7310392015716865/255615334504 Iyo hapo mashine ya kazi Tumeamua tutoe OFA msimu huu wa wanafunzi kujiandaa na vyuo Kutoka 450,000 hadi 370,000 wewe huogopi 🤗 Bonyeza link hapo juu weka oda yako ujipatie OFA hii na Laptop stand Bure kabisa
  7. Ngufumu

    Kisa cha kusikitisha Kuhusu kujifungulia Nyumbani

    Je wajua 37% ya wanawake kujifungulia Nyumbani Nchini Tanzania? Anyway tuendelee Katika kijiji kidogo huko Pwani, Tanzania, aliishi kijana mmoja mdogo aitwaye Kaanayi, dereva bodaboda mwenye juhudi na upendo mwingi kwa mpenzi wake mjamzito, Ngaremu. Usiku mmoja, Ngaremu alianza kupata uchungu...
  8. Ngufumu

    Dalili za Hatari wakati wa Ujauzito/Mimba

    Dalili za hatari wakati wa Ujauzito Wanawake wajawazito ni vizuri wakajua kuhusu viashiria vya hatari (matatizo wakati wa ujauzito) hii ni muhimu kwa kuhakikisha afya yao na afya ya mtoto/watoto wao. Hapa kuna mambo muhimu ya kufahamu: 1. Kifafa cha Mimba Dalili/ Ishara vyake - maumivu...
  9. Ngufumu

    Upungufu wa Homoni ya Kiume

    Je Unaijua Homoni ya Kiume/Testestrone? Leo tuzungumze kidogo kuhusu Homoni ya Kiume/ Testestrone. Kwani upungufu wa hivi vichocheo huweza kuleta madhara makubwa sana siyo tu kitandani bali hata kwenye maisha ya kawaida ya mwanaume hata Mwanamke pia, lakini usjali suluhu ipo Disclaimer: Ujumbe...
  10. Ngufumu

    Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

    Ebu wakati mnaweza milioni 100 niungisheni angalau nipate tu kula na kulipa pango kwasasa Hizo mamilioni tutazikamata ipo siku🛐 Link hii hapa jipatie vifaa vya Elektroniki sasahivi👇🏾 https://wa.me/c/255615334504
  11. Ngufumu

    Namna ya kuzuia Kichechefu wakati wa Ujauzito

    Je unaelewa nini kuhusu Kichechefu wakati wa ujauzito/ Morning sickness? Kichefuchu ni dalili ya kawaida ya ujauzito, hasa wakati wa kipindi cha kwanza cha mimba(miezi 3 ya mwanzo). Hali hii inaweza kukufanya uhisi kuchefuka au kuwa na kizunguzungu na kukuacha bila hamu ya kula. Ingawa ni...
Back
Top Bottom