Kwa jicho la uanamajumuhi wa Afrika hili ni jambo linawezekana kabisa na mimi naliombea litokee tuungane na kuwa na umoja kwelikweli ili kuwashinda mabeberu
Sema uzazi zamani kidogo uliheshimika sana maeneo ya kule kwetu mama akijufungua ile tu amerudi home kama ni mtoto wa kike vinapigwa vigelegele(Midoro🤗) vinne kwa mtoto wa kiume ni Vitatu 3️⃣ lakini kubwa kuliko ni kwamba vyakula vinavyopikwa iyo nyumba ni vile vilivyoeenda shule 😋, kwanzia...
Zijue Kozi 40+ za degree ambazo Muuguzi/Nurse wa Diploma anaweza kuzisoma Tanzania kwa mujibu wa Guidebook ya TCU 2024/2025
If your a Nurse Midwifery with an ordinary Diploma save this👇🏾
1. Bachelor of Science in Nursing - MUHAS, UDOM, St. John, Kcmc, KiU, Kairuki, Agakhan, ZU, miaka 2.5 - 4...
https://wa.me/p/7310392015716865/255615334504
Iyo hapo mashine ya kazi Tumeamua tutoe OFA msimu huu wa wanafunzi kujiandaa na vyuo Kutoka 450,000 hadi 370,000 wewe huogopi 🤗
Bonyeza link hapo juu weka oda yako ujipatie OFA hii na Laptop stand Bure kabisa
Je wajua 37% ya wanawake kujifungulia Nyumbani Nchini Tanzania? Anyway tuendelee
Katika kijiji kidogo huko Pwani, Tanzania, aliishi kijana mmoja mdogo aitwaye Kaanayi, dereva bodaboda mwenye juhudi na upendo mwingi kwa mpenzi wake mjamzito, Ngaremu. Usiku mmoja, Ngaremu alianza kupata uchungu...
Dalili za hatari wakati wa Ujauzito
Wanawake wajawazito ni vizuri wakajua kuhusu viashiria vya hatari (matatizo wakati wa ujauzito) hii ni muhimu kwa kuhakikisha afya yao na afya ya mtoto/watoto wao. Hapa kuna mambo muhimu ya kufahamu:
1. Kifafa cha Mimba
Dalili/ Ishara vyake
- maumivu...
Je Unaijua Homoni ya Kiume/Testestrone?
Leo tuzungumze kidogo kuhusu Homoni ya Kiume/ Testestrone. Kwani upungufu wa hivi vichocheo huweza kuleta madhara makubwa sana siyo tu kitandani bali hata kwenye maisha ya kawaida ya mwanaume hata Mwanamke pia, lakini usjali suluhu ipo
Disclaimer: Ujumbe...
Ebu wakati mnaweza milioni 100 niungisheni angalau nipate tu kula na kulipa pango kwasasa Hizo mamilioni tutazikamata ipo siku🛐
Link hii hapa jipatie vifaa vya Elektroniki sasahivi👇🏾
https://wa.me/c/255615334504
Je unaelewa nini kuhusu Kichechefu wakati wa ujauzito/ Morning sickness?
Kichefuchu ni dalili ya kawaida ya ujauzito, hasa wakati wa kipindi cha kwanza cha mimba(miezi 3 ya mwanzo). Hali hii inaweza kukufanya uhisi kuchefuka au kuwa na kizunguzungu na kukuacha bila hamu ya kula. Ingawa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.